Habibu Mchange njiapanda

Vijana wenye uzalendo wote walioko CDM lazima wataondoka na kutafuta mahali penye uhuru wa kuelezea hisia na malengo yao kwa taifa.
Uzalendo wa kukosa adabu,kutukana watu wazima mpaka maumbile ya mwili wanamtukana Dr Slaa kilema cha mkono alichopata akiwa kazini lakini wakisahau mama mzazi wa mmoja wa kiongozi wa masalia amezaliwa mlemavu hakuna hata mtu mmoja amewahi kumtukana,masalia uzalendo wao uko matumboni mwao wenye uzalendo wamepotezea viungo,wengine wamekufa wengine wako mapolini wakieneza sera hao masalia waende wakatumiwe
 
Huyu brother, ameamua kutulia kwa muda na kujiepusha na ile mivutano ya kisiasa ya awali ili apate muda wa kujipanga upya..
Ndio tabu ya kufanya mahesabu vibaya,aliyemtuma yeye kabanishi kimya anaendelea na unaibu katibu mkuu,yeye taswira imevurugika dhamira inamsuta atulie asitulie is none of our business si mali kitu kwa taifa hili
 
Kama anachagua kuitukana CHADEMA ajue anapambana na NGUVU YA UMA na ni lazima itakuja kumjutisha,ni vyema aombe radhi CHADEMA ni watu wa kusamehe,akisamehewa ni lazma apige mzigo unaoonekana dhahiri shahiri.WELLCOME BACK brother.
 
Mleta uzi ni mnafiki tu,kwanini asiingie na jina lake la kweli?

Kumbe nyani haoni kundule!... Hivi wewe MAJEBELE, mdini - unaamini wewe si mnafiki?.. Mbona wewe hujaingia kwa jina lako?.. Kama hiki ni kigezo cha UNAFIKI, umepona?
 

Atabaki Dar kama chakula ya wenye chama. Nina hakika atakuwa na kazi ya kuikanda kila siku.
 



ushauri mzuri
 
Mleta uzi ni mnafiki tu,kwanini asiingie na jina lake la kweli?

wewe mwenyewe ni mnafiki,mbona pia umeshindwa kuingia na jina lako halisi na kuishia kutuhadaa na majebere?
 
Last edited by a moderator:
Chacha daniel okong tangu jina lake liondolewe kugombea ubunge nyamagana hajapanic km masalia ambao wanajimaliza wenyewe
 
chadema imegeuka..Mungu sasa;

naona wazee wa kanisa mkitoa comment zenu....ama kweli, no wonder matokeo ya form four vile

chadema bana.....mtafika muda mnapangia watu waoane na kuachana......
 
Mchange, kukosea kaumbiwa binadamu. Usife wala kuvunjika moyo kwa kugundua umekosea. Simama ueleze umma wa wapenda mabadiliko wa nchi hii ulivowasaliti na vile unajutia nafsi yako kwa makosa ulofanya.

Naamini, ukiomba msamaha wa kumaanisha mbele ya walalahoi tusioijua kesho yetu km makinda ya kuku, tunaovuja jasho usiku na mchana kujikwamua kiuchumi bila mafanikio kutokana na mifumo duni ya utawala wa ccm na tuliowekeza imani zetu kwenu tukiamin ni wapiganaji wa kwel ktk kutukomboa kutoka hali duni za kimaisha, utasamehewa.

natamani nijaze kurasa kukushauri lkn pokea hilo kwa leo na nitoe nafasi kwa wengine watoe yao ya moyon.

yes u can habib mchange
 
Last edited by a moderator:
Mchange , hakuna mkamilifu na wakati mwingine tamaa huzidi mtu na hata kukengeuka .Kama unadhani una nia ya dhati ya kufanya kazi kwa amani basi rudi Chadema .Nitafute mimi mimi hapa nitakushika mkono na nitaongea mbele zao nawe uwaangukie urudi kundini .Acha mahangaiko ya kimwili na kiroho muda una enda .Ukitoka Chadema hutakuwa salama .Wenzako hawako salama na kama huamini tulia utaona siku za karibuni .Laana kubwa inakuwakumbuka wale .Chadema watu wamepoteza maisha, wamekuwa masikoini kuichangia Chadema kwa matumaini leo unaanza kuwageuka wavuja jasho la kweli hakika huwezi kuwa salama .Rudi Chadema utakiwa salaama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…