komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 2,742
- 3,520
Fisadi ni neno la jumla sana. Nakubaliana record ya kumtukana Lowasa anayo Nape. Aliposema Lowasa anajiharishiaMlimtangaza fisadi namba moja. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha
Fisadi ni neno la jumla sana. Nakubaliana record ya kumtukana Lowasa anayo Nape. Aliposema Lowasa anajiharishiaMlimtangaza fisadi namba moja. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha
Matusi ya nguoni si uyaseme, maana record ipo.Tena hao walimtukana Matusi ya nguoni
View attachment 3270285
Kilichomponza hiki hapa
View attachment 3270286
Kwa Wasiomfahamu- Habib Mchange ndiye mmiliki wa Gazeti hilo, Ni Mtu anayeshikilia nafasi ya pili kwa Kumtukana Mzee Lowassa Matusi ya nguoni wakati ule wa kampeni za Urais 2015, Namba moja ilishikwa na Nape Nnauye.
Unafahamu maana ya Matusi ya nguoni?Kuna anaeizidi Chadema kwa kumtukana Hayati Lowassa nchi hii...!??
Au tuweke clip ya kiongozi mkubwa wa CDM akimuita Lowassa mwizi, fisadi na anastahili kuchomwa moto
HayasemekiMa
Matusi ya nguoni si uyaseme, maana record ipo.
Hayasemeki mbona mlimwambia anajinyea na kumbukumbu zipo. Lipo tusi kubwa kuliko hilo kwa LowasaHayasemeki
Aliyesema ni nani?Hayasemeki mbona mlimwambia anajinyea na kumbukumbu zipo. Lipo tusi kubwa kuliko hilo kwa Lowasa
Rudia kusoma ulichoandika!Kwahiyo ccm mkapimwe akili kama Msigwa alivyosema kwa sababu mlimuunga mkono Edo?
Wewe hujawahi kuwa na akili kumzihaki waziri mkuu kumwita fisadi papa unaon sio tusi unataka tusi la nguoni kwa taarifa yako hilo zaidi ya tusi la nguoni kumbe uko zuzu kupitiliza kiasi hiicho sijui wapi unapata huu ujasiri wa kuandika uharo.Unafahamu maana ya Matusi ya nguoni?
Fisadi ni neno la jumla sana. Nakubaliana record ya kumtukana Lowasa anayo Nape. Aliposema Lowasa anajiharishia