Habib Mchange aingia kwenye Mfumo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,433
Reaction score
283,714


Kilichomponza hiki hapa



Kwa Wasiomfahamu- Habib Mchange ndiye mmiliki wa Gazeti hilo, Ni Mtu anayeshikilia nafasi ya pili kwa Kumtukana Mzee Lowassa Matusi ya nguoni wakati ule wa kampeni za Urais 2015, Namba moja ilishikwa na Nape Nnauye.
 
ndiyo siasa, kutukana, kudhalilishana, kusalitiana and the like, kubagazana, kusema uongo...simshangai maana wengi if not all tuko hivyo hasa ikija kugombea madaraka...sikiliza hiyo... najua hutaipenda lkn isikilize
 

Attachments

  • BUSARA.mp4
    1.9 MB

Attachments

  • 20240213_065335.jpg
    62.1 KB · Views: 22
Namba moja kwa kumtukana lowasa ni chadema kisha mange
Wacha uongo,Chadema hawajawahi kumtukana Lowasa bali walimtuhumu kwa ufisadi yeye na viongozi wengine 10 waandamizi wa CCM akiwepo JK tena akiwa Rais. Watu waliomtukana Lowasa ni maccm wakiongozwa na Nape,Makonda,Msukuma, Musiba,Habib Mchange na wengineo.
 
Tena hao walimtukana Matusi ya nguoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…