samua JF-Expert Member Jul 18, 2016 1,029 704 May 8, 2017 #1 Hali zenu wanajamii......mm ni memba mpya naomba mnikaribishe mwenzenu
Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,902 95,407 May 8, 2017 #5 Rafiki taratibu za huku ni kwamba member mpya anatakiwa kuweka picha zake tofautitofauti tatu hapa pamoja na namba yake ya simu
Rafiki taratibu za huku ni kwamba member mpya anatakiwa kuweka picha zake tofautitofauti tatu hapa pamoja na namba yake ya simu
Mgodo visa JF-Expert Member Nov 1, 2016 3,562 3,559 May 9, 2017 #7 samua said: Hali zenu wanajamii......mm ni memba mpya naomba mnikaribishe mwenzenu Click to expand... Memba mpya...!!? Mbona umeweka picha ya VIATU katika avatar....! Ni nani kakufundisha tabia hiyo..!? Weka picha yako halisi tukujue...
samua said: Hali zenu wanajamii......mm ni memba mpya naomba mnikaribishe mwenzenu Click to expand... Memba mpya...!!? Mbona umeweka picha ya VIATU katika avatar....! Ni nani kakufundisha tabia hiyo..!? Weka picha yako halisi tukujue...
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,985 94,000 Aug 13, 2017 #8 samua said: Hali zenu wanajamii......mm ni memba mpya naomba mnikaribishe mwenzenu Click to expand... Karibu sana JamiiForums...
samua said: Hali zenu wanajamii......mm ni memba mpya naomba mnikaribishe mwenzenu Click to expand... Karibu sana JamiiForums...
BIGstallion JF-Expert Member Sep 13, 2016 6,323 7,895 Aug 13, 2017 #9 Umember upya tokea lini umeota magugu ivi