Habari za uchaguzi mdogo kata ya santilya

Habari za uchaguzi mdogo kata ya santilya

Joined
Dec 14, 2013
Posts
78
Reaction score
24
Mods naomba musiweke mbali uzi huu
Leo CHADEMA ndio wamefunga kampeni zao ambazo ziliongozwa na viongozi wa kanda na kimsingi chadema wanashinda kata hii
hivi ninavyo zungumza makamanda wameenda kufanya dolia kwani ccm wameanza kugawa rushwa bt hali ya kuwadhibiti iko vizuri na tunaamini hawachomoki mana leo hakuna kulala
 
Nadhan ccm wangetumia hizi chaguzi ndogo kujipima kukubalika kwao na wananchi kwa kuacha demokrasia ichukuwe mkondo wake, wasifanye uhuni wowote.
 
Arusha tumejipanga na kesho tunashinda kwa kishindo, tayar tunao makamanda zaid ya 1000 wa kulinda kura zetu, saa 11 mtasikia kwa kishindo ushindi wa chadema wana wa sombetin
 
Kila kona ya Tanzania raia tumeamka. Big up Watanzania wenzangu,CHADEMA ndiyo itatuongoza kuupata uhuru na ukombozi wa kweli.
 
Hongereni sana, je hamjaletewa jkt huko kama wenzenu wa Bunda? Ccm bila rushwa ni sawa na gari bila mafuta!
 
Back
Top Bottom