Ulikuwa kijijini?Wadau naomba tukumbushane kidogo ile habari ya mtawa bathlomeo maana wengine tulikuwa kuwa kijijini hakuna network
Kwajinsi Roman Catholic walivyo wasiri...... Usitarajie kusikia chochote zaidi ya yale tulio yasikia yakisemwa na RPC wa MwanzaWadau naomba tukumbushane kidogo ile habari ya mtawa bathlomeo maana wengine tulikuwa kuwa kijijini hakuna network
Ni huyo wa bugando maana wenzetu wa jikoni wamekuwa kimyaYupi huyo alokufa pale Bugando au yupi tena?
Alizikwa na kanisa kwani alitubu dhambi zake kabla ya kufariki.Wadau naomba tukumbushane kidogo ile habari ya mtawa bathlomeo maana wengine tulikuwa kuwa kijijini hakuna network
Wala sio wasiri, ni watu hatari sana katika ulimwengu huu ...Kwajinsi Roman Catholic walivyo wasiri...... Usitarajie kusikia chochote zaidi ya yale tulio yasikia yakisemwa na RPC wa Mwanza