Habari njema ya ufalme wa Mbinguni

Habari njema ya ufalme wa Mbinguni

Joined
Aug 19, 2018
Posts
14
Reaction score
2
HABARI NJEMA YA UFALME WA MBINGUNI
Je duniani mna habari kwamba yupo nabii wa MUNGU Mtakatifu? Kama hamna habari basi nabii huyo yupo hapa duniani, na biblia imemuelezea ya kwamba atakuja kutayarisha ujio wa mara ya pili wa Mtakatifu BWANA YESU KRISTO. Nabii huyo ametabiliwa katika biblia hatua mbalimbali. Hatua ya kwanza ya mabadiliko ya nabii huyo alibadilishwa macho yake mwaka 1988 kama nabii Zakaria alivyotabiri, Zakaria3:8-10. Hatua ya pili mwaka 1989 alianza kuongea na Mtakatifu BWANA YESU KRISTO muda wa usiku akiwa amelala na kupokea habari mbalimbali za MUNGU Mtakatifu na kuwajulisha jamaa zake wa karibu. Hatua ya tatu alianza kuongea mwaka 1990, alianza kuongea na MUNGU Mtakatifu muda wote mchana na usiku jambo ambalo liliwashangaza watu wa karibu yake na kuamua kufatilia katika biblia juu ya mabadiliko ya maono hayo biblia inafafanuaje, kama Kumb18:15-22, Malak4:4-6, Math11:2-15, Yoh16:12-15, Math17:10-13 na Yoh1:19-23. Watu wa karibu yake walianza kufuatilia katika biblia na kufahamu kua ni kweli kuhusu mafungu haya yanayo mtambulisha nabii wa MUNGU Mtakatifu na mafungu mengine mengi kama Isaya41:3.
Njia anayotumia kuongea na MUNGU Mtakatifu ni ya kufumba macho, nabii huyu anapofumba macho anaona moja kwa moja juu MBINGUNI na kumuona MUNGU Mtakatifu na watakatifu wote walio juu MBINGUI kama nabii Isaya alivyotabiri Isaya42:18-21. Nabii huyu aliendelea kuongea na MUNGU Mtakatifu na maono hayo yakazoeleka ya kwamba anaona MBINGUNI, duniani na sehemu yoyote ile ambayo MUNGU Mtakatifu anapenda kumuonesha kama vile baharini majini chini ya dunia ambako ndiko makazi ya shetani yaliko. Hivyo watu wakaribu wamezoea wanauliza shida zao mbalimbali na ndoto zao na kupata majibu ya shida zao na tafsiri ya ndoto zao mbalimbali kutoka kwa MUNGU Mtakatifu wa MBINGUNI kupitia kwa Mwonaji wake nabii.
Baada ya maono hayo kuwa wazi kiasi hicho MUNGU Mtakatifu alimuagiza Mwonaji nabii na watu walio karibu yake wajenge kanisa, kanisa lilijengwa mwaka 2000 miyomboni Misugusugu wilaya ya kibaha mkoa wa Pwani Tanzania, ambalo limepokea habari njema ya ufalme wa MBINGUNI kuwa ushuhuda kwa watu wote kama Mtakatifu BWANA YESU KRISTO alivyotabiri katika Math24:14, pia kumekuwa na mafundisho mbalimbali yanayopokelewa kila sabato na nyimbo mpya kutoka MBINGUNI zimepokelewa kutoka kwa MALAIKA GOGBAM muimbaji wa MBINGUNI.
Lengo hasa la MUNGU Mtakatifu kuleta maono haya kwa nabii huyu ni kuwaandaa watu kwamba Mtakatifu BWANA YESU KRISTO yuko karibu kurudi duniani, watu wote wajiandae kuacha dhambi ili waweze kumpokea mawinguni. Hivyo maandalizi unayotakiwa uwenayo mwanadamu sasa, unatakiwa ushike amri kumi kama yeye Mtakatifu BWANA YESU KRISTO alipokuwa hapa duniani Yoh15:9-10, pia lazima uwe msabato kama yeye alivyokuwa msabato Luk4:16-18, Math12:8. Mtakatifu BWANA YESU KRISTO anasisitiza kwamba watakao kwenda MBINGUNI watakwenda kuabudu sabato kama alivyosema katika Biblia Isaya66:22-23. Kwahiyo watu wote karibuni tumsikie Mtakatifu BWANA YESU KRISTO anasema nini kwa wakati huu duniani
MAWASILIANO
Mwonaji/NABII: 0758408348 au 0712838675
Mtumishi wa kiroho: 0752092911
Mzee wa kanisa: 0754993241 au 0715993241
 
Mchungaji.

Nikitaka niombewe ili nipate ajira kuna hatua gani za kufuata? Kuna malipo yoyote?

Mimi nipo nje ya eneo la pwani.
 
Kitu nimeshindwa kubali maishani mwangu ni KUAMINI UTAPELI WA KINABII.
Samahani mana nina uchungu sana nilivyompoteza mama angu kisa huu ujinga wa Kinabii
 
So stupid, Jesus is Sabbath? ulaaniwe ewe nabii wa uwongo, uipotoshaye kweli ya injili ya kristo, eti watakao ingia mbinguni ni lazima uwe msabato, bliblia yangu inaniambia tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu, ambao hakuna mtu atakaye mwona bwana asipo kuwa nao, ebrania 12:14, tiketi ya kuingia mbinguni ni utakatifu, utakatifu, utakatifu ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchungaji.

Nikitaka niombewe ili nipate ajira kuna hatua gani za kufuata? Kuna malipo yoyote?

Mimi nipo nje ya eneo la pwani.
wewe unayetaka ajira unamaanisha nini? Kafungue hata genge la matunda au mboga mboga ni ajira tosha usimchoshe Mungu
 
HABARI NJEMA YA UFALME WA MBINGUNI
Je duniani mna habari kwamba yupo nabii wa MUNGU Mtakatifu? Kama hamna habari basi nabii huyo yupo hapa duniani, na biblia imemuelezea ya kwamba atakuja kutayarisha ujio wa mara ya pili wa Mtakatifu BWANA YESU KRISTO. Nabii huyo ametabiliwa katika biblia hatua mbalimbali. Hatua ya kwanza ya mabadiliko ya nabii huyo alibadilishwa macho yake mwaka 1988 kama nabii Zakaria alivyotabiri, Zakaria3:8-10. Hatua ya pili mwaka 1989 alianza kuongea na Mtakatifu BWANA YESU KRISTO muda wa usiku akiwa amelala na kupokea habari mbalimbali za MUNGU Mtakatifu na kuwajulisha jamaa zake wa karibu. Hatua ya tatu alianza kuongea mwaka 1990, alianza kuongea na MUNGU Mtakatifu muda wote mchana na usiku jambo ambalo liliwashangaza watu wa karibu yake na kuamua kufatilia katika biblia juu ya mabadiliko ya maono hayo biblia inafafanuaje, kama Kumb18:15-22, Malak4:4-6, Math11:2-15, Yoh16:12-15, Math17:10-13 na Yoh1:19-23. Watu wa karibu yake walianza kufuatilia katika biblia na kufahamu kua ni kweli kuhusu mafungu haya yanayo mtambulisha nabii wa MUNGU Mtakatifu na mafungu mengine mengi kama Isaya41:3.
Njia anayotumia kuongea na MUNGU Mtakatifu ni ya kufumba macho, nabii huyu anapofumba macho anaona moja kwa moja juu MBINGUNI na kumuona MUNGU Mtakatifu na watakatifu wote walio juu MBINGUI kama nabii Isaya alivyotabiri Isaya42:18-21. Nabii huyu aliendelea kuongea na MUNGU Mtakatifu na maono hayo yakazoeleka ya kwamba anaona MBINGUNI, duniani na sehemu yoyote ile ambayo MUNGU Mtakatifu anapenda kumuonesha kama vile baharini majini chini ya dunia ambako ndiko makazi ya shetani yaliko. Hivyo watu wakaribu wamezoea wanauliza shida zao mbalimbali na ndoto zao na kupata majibu ya shida zao na tafsiri ya ndoto zao mbalimbali kutoka kwa MUNGU Mtakatifu wa MBINGUNI kupitia kwa Mwonaji wake nabii.
Baada ya maono hayo kuwa wazi kiasi hicho MUNGU Mtakatifu alimuagiza Mwonaji nabii na watu walio karibu yake wajenge kanisa, kanisa lilijengwa mwaka 2000 miyomboni Misugusugu wilaya ya kibaha mkoa wa Pwani Tanzania, ambalo limepokea habari njema ya ufalme wa MBINGUNI kuwa ushuhuda kwa watu wote kama Mtakatifu BWANA YESU KRISTO alivyotabiri katika Math24:14, pia kumekuwa na mafundisho mbalimbali yanayopokelewa kila sabato na nyimbo mpya kutoka MBINGUNI zimepokelewa kutoka kwa MALAIKA GOGBAM muimbaji wa MBINGUNI.
Lengo hasa la MUNGU Mtakatifu kuleta maono haya kwa nabii huyu ni kuwaandaa watu kwamba Mtakatifu BWANA YESU KRISTO yuko karibu kurudi duniani, watu wote wajiandae kuacha dhambi ili waweze kumpokea mawinguni. Hivyo maandalizi unayotakiwa uwenayo mwanadamu sasa, unatakiwa ushike amri kumi kama yeye Mtakatifu BWANA YESU KRISTO alipokuwa hapa duniani Yoh15:9-10, pia lazima uwe msabato kama yeye alivyokuwa msabato Luk4:16-18, Math12:8. Mtakatifu BWANA YESU KRISTO anasisitiza kwamba watakao kwenda MBINGUNI watakwenda kuabudu sabato kama alivyosema katika Biblia Isaya66:22-23. Kwahiyo watu wote karibuni tumsikie Mtakatifu BWANA YESU KRISTO anasema nini kwa wakati huu duniani
MAWASILIANO
Mwonaji/NABII: 0758408348 au 0712838675
Mtumishi wa kiroho: 0752092911
Mzee wa kanisa: 0754993241 au 0715993241


Biashara mpaka kwenye mitandao. Wakati wa YESU, akujitangaza, bali matendo yake yalimtangaza. Watu waliopokea majibu ya mahitaji yao toka kwa Yesu walikuwa matangazo tosha.
Sasa hii ya kuweka matangazo na kujiita mwonaji/Nabii pia kuweka mawasiliano ni utapeli mtupu.
WAJINGA NDIO WALIWAO
 
Mchungaji.

Nikitaka niombewe ili nipate ajira kuna hatua gani za kufuata? Kuna malipo yoyote?

Mimi nipo nje ya eneo la pwani.
Hakuna malipo yoyote ya huduma ya maombezi. maombi yote ni bure. karibu kanisani uongee na Mtakatifu BWANA YESU KRISTO kupitia Mwonaji wake.
 
Kitu nimeshindwa kubali maishani mwangu ni KUAMINI UTAPELI WA KINABII.
Samahani mana nina uchungu sana nilivyompoteza mama angu kisa huu ujinga wa Kinabii
Pole sana ndugu kwa yaliyokukuta, jambo hili ni la uhakika si jambo la kubahatisha au kujitungia ndugu.
 
So stupid, Jesus is Sabbath? ulaaniwe ewe nabii wa uwongo, uipotoshaye kweli ya injili ya kristo, eti watakao ingia mbinguni ni lazima uwe msabato, bliblia yangu inaniambia tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu, ambao hakuna mtu atakaye mwona bwana asipo kuwa nao, ebrania 12:14, tiketi ya kuingia mbinguni ni utakatifu, utakatifu, utakatifu ,

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ndugu, lakini soma luka4:16-21, math12:8, isaya58:13-14, Yoh15:9-10
 
wasabato nanyi mmeanza kukengeuka na kujiita manabii!? hakika hizi ni nyakati za mwisho.
Acha chuki za wazi kwa wasabato, kuna sehemu hapo kumeandikwa sabato? au umekurupuka kusoma mada, wasabaso hakuna huo utaratibu
 
Back
Top Bottom