habari njema kwa waliosoma sheria

habari njema kwa waliosoma sheria

mwanazuoni2

Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
13
Reaction score
10
Leo muda wa saa tano bungeni nimemsikia waziri wa sheria mh Dr.migiro na mwenyekiti wa kamati ya sheria na. Katiba mh ngeleja kuwa wanatarajia kutoa ajira 489 za state attorneys kwa mwaka huu wa fedha 2014/2015.Kila la heri mliopita law school.
 
tena sio kupita law school kuwa na certificate ya law school ,lazima uwe umepass
 
Heheheee...ngoja nisapue mie jaman niapishwe na mimi mwezi wa 12.
 
Back
Top Bottom