Habari, natafuta kazi

Habari, natafuta kazi

Ness

Member
Joined
May 14, 2013
Posts
13
Reaction score
0
mimi ni binti wa kitanzania mwenye miaka 22....nmesoma clinical assistant for one year and a half....na kupostpone masomo due to financial problems....for the time being im looking for any legal job dat suits me.....please if you can help me in one way or another dont hesitate to send me Private message......nipo Dar es salaam.....thnk you....be blessed
 
Usikate tamaa utafanikiwa tu nakutakia kila la kheri katika harakati zako
 
mimi ni binti wa kitanzania mwenye miaka 22....nmesoma clinical assistant for one year and a half....na kupostpone masomo due to financial problems....for the time being im looking for any legal job dat suits me.....please if you can help me in one way or another dont hesitate to send me Private message......nipo Dar es salaam.....thnk you....be blessed

unatafuta kaz gani???
 
Back
Top Bottom