Nshakufaham nakusubiria chimbo lako mkpk
hahaahhaha umemdaka utamu,we umesema mkpk ye kamaliza kabisa makapuku,halafu eti mgeni,mgeni ana maujanja kuliko,duuh.Makapuku ndio wap, kwanza ww ni ke au me
hahaahhaha umemdaka utamu,we umesema mkpk ye kamaliza kabisa makapuku,halafu eti mgeni,mgeni ana maujanja kuliko,duuh.
karibu barna,tulimis sredi zako
Karibu sana,Habari members...
Mimi ni mgeni humu Jf na nineijua punde tu Jf kupitia Facebook. Naombeni mnielekeze ,mnipokee na kuwa namm humu jf. Nitafurahi mkinikaribisha vizur pia kama nitapata marafiki wengi wa jinsia zote..
Mm mgeni wenu Ray van Boy.
Ahsanteni
Mods kweli hivi ni haki mtu kumuita mwenzie Shoga eeh. Mpeni haki yake kutokana na sheriaMods piga ban huyu shoga asituzingue.
Wewe vipi? sasa kama ni ukweli usiitweMods kweli hivi ni haki mtu kumuita mwenzie Shoga eeh. Mpeni haki yake kutokana na sheria
Hayaa poa mkuu. Ila hakuna mjanja kwenye upumbafuWewe vipi? sasa kama ni ukweli usiitwe
Dogo punguza munkari kama wewe mgeni hapa ingia kwa heshima sio kufanya watu wapumvavu.Hayaa poa mkuu. Ila hakuna mjanja kwenye upumbafu
Kwani nimekufanyaje mpumbavu mkuuDogo punguza munkari kama wewe mgeni hapa ingia kwa heshima sio kufanya watu wapumvavu.
Acha kuuliza maswali ya kijinga umeelewa vizuri.Kwani nimekufanyaje mpumbavu mkuu
Ok umeshindaAcha kuuliza maswali ya kijinga umeelewa vizuri.
Nyie km sio Waha Sijui!Noo kivunde
Tena wew ni mwami ruyagwa ww. Pita masanga utanikutaNyie km sio Waha Sijui!
huyu jamaa anitwa snipes
Wanataka kutembelea nyota za watu haoachana nae huyo mshamba namuona tangu juzi ananifatilia tu
hatuuzi kikiWanataka kutembelea nyota za watu hao
Waambie kiki hazipatikani kwetu