Habari kwa vina/michano

Habari kwa vina/michano

Yoh, nafurukuta nafurukuta, mpaka naanguka,

Nafuu huku kitaa, buku hulali njaa.

Una luku washa taa, nina muku ile balaah

Leo ni furaha haha, acha nicheke mi

Bado nacheka mi, bado nacheka mi.

Sina budi, Nikimaliza narudi
 
Wanapagawa, nawapa dawa bila homa

Nipo sawa mzawa, kwenye ngoma

Mi ni popo bawa, wanaogawa wananisoma

Nina power, kama kawa nayoyoma

Sina undugu kwenye pesa, kama duka la mangi

Na ukiniona nanesa, ujue nimeshavuta bangi
 
Africa duru hatupo huru
Madarakani kama Nkuru
Nziza ama aliyeamuru
Sukari ikawa guru
Wananchi akatudhuru
Wanatawala kwa sururu
Ona tume hazipo huru
Upinzani hauna nuru
Fumbua macho shukuru
Ya bongo siyo ya kaburu
 
Africa duru hatupo huru
Madarakani kama Nkuru
Nziza ama aliyeamuru
Sukari ikawa guru
Wananchi akatudhuru
Wanatawala kwa sururu
Ona tume hazipo huru
Upinzani hauna nuru
Fumbua macho shukuru
Ya bongo siyo ya kaburu
Mvumbo Africa ni fumbo
Wanapigania matumbo
Hivyo ongea POLE POLE

Wanapigana vikumbo
Kwa ngonjera na nyimbo
Ili maisha yao yawe dole
 
Song: Miss Chagga

Artist: Mvumbo

Verse 1
Hizi sio hadithi za laga
Nakuimbia Miss Chagga
Nakumiss na huwaga
Nahisi my utanimwaga
Sina pesa unanitesa
Vipi tutakuwa draw
Unataka niwe na rumbesa
Kama za watu wa Escrow
Sina uchawi wa Mshana
Niseme nifanye ndumba
Nakuwaza usiku mchana
Uwe wangu mchumba
Nawaza sana akilini
Unavyopenda pesa wewe
Maana mke wa masikini
Naelewa kuwadi mumewe
 
Song: Miss Chagga

Artist: Mvumbo

Verse 1
Hizi sio hadithi za laga
Nakuimbia Miss Chagga
Nakumiss na huwaga
Nahisi my utanimwaga
Sina pesa unanitesa
Vipi tutakuwa draw
Unataka niwe na rumbesa
Kama za watu wa Escrow
Sina uchawi wa Mshana
Niseme nifanye ndumba
Nakuwaza usiku mchana
Uwe wangu mchumba
Nawaza sana akilini
Unavyopenda pesa wewe
Maana mke wa masikini
Naelewa kuwadi mumewe
Zipo njia mwana, ukiona mambo hayawi

Mshitakie Mshana, au Mkuu Jichawi

Uone msichana, kama atakuwa hapagawi

Ila anapenda maji sana, kama mpaka wa Malawi
 
Ya kwanza majipu, ya pili ni sukari

Siku hizi hatufungui zipu, life limepiga kabari

Pombe usinibipu, wala meza ya kamari

Mchepuko usinisifu, maana sina salary

Mtwara gesi, tumboni gesi
Mdanganyika nayumba

Mabasi resi, maisha resi
Ni movie ka' Kanumba

Kazi tetesi, viwanda tetesi
Tuone je kauli zinaumba

Soma wepesi, ada wepesi
Nenda shule za kayumba
 
Pesa ndio knife, mademu dhaifu
Nawachinja kama kuku

Master sijisifu, usiniige life
Pesa itakata kama luku

Kimtindo nina bingo, na siwezi ringa

Radio sina singo, na napush ndinga

Waambie waache majungu, waanze kujiongeza

Maana kwenye fungu, ndiyo kunakwenda nyongeza

Nikiwa na mpunga mwingi, usiulize kwa nini sikupi

Maisha yana siri nyingi, kuliko hata chupi
 
Wawapi waliopiga mbiu, eti machangu waache habari

Ya nini nife na kiu, wakati mvuvi nipo kwenye bahari

Machangu watoto safi kama Eden

Na nikishakula tunda najisikia heaven

Muda wowote, nakula nnachotaka

Sio nifuate "ooh leo yupo kaka"

Tena hakuna vioja, kama penzi la mpenzi

Umekula mara moja, na unalipia kila mwezi

Ukitaka wembamba, ukitaka wanene

Wenye nane namba, ruksa kucheza sebene

Hakuna kufungana kamba, ooh sijui tuoane

Muda wowote unaramba, bora uwe na mapene

Demu ukipata mchumba, chunga sana usidilei

Siku hizi kuna mitumba, na chupi zimeshuka bei
 
Wawapi waliopiga mbiu, eti machangu waache habari

Ya nini nife na kiu, wakati mvuvi nipo kwenye bahari

Machangu watoto safi kama Eden

Na nikishakula tunda najisikia heaven

Muda wowote, nakula nnachotaka

Sio nifuate "ooh leo yupo kaka"

Tena hakuna vioja, kama penzi la mpenzi

Umekula mara moja, na unalipia kila mwezi

Ukitaka wembamba, ukitaka wanene

Wenye nane namba, ruksa kucheza sebene

Hakuna kufungana kamba, ooh sijui tuoane

Muda wowote unaramba, bora uwe na mapene

Demu ukipata mchumba, chunga sana usidilei

Siku hizi kuna mitumba, na chupi zimeshuka bei
Bora chimbo
Lenye madini

Sio chimbo
La walakini

Ona ulimbo
Juu na chini

Ila jua ukingo
Upo ni kaburini

Bora halali
Hukumbuki

Kwenye asali
Kuna nyuki
 
Nasikia yule bwege, kasema hip hop uhuni

Yaani kamuiga chege, kwamba ipo Marekani

Wa bange na mbege, eti ndio ipo moyoni

Visenti kama Chenge, utaviona tu ndotoni

Je, nianze kubana pua, ili nimudu majukumu

Au jamaa anazingua, niendelee na hizi ngumu
 
Najua yeye ni mrembo sana, Ila Nacho jiuliza kwann anipendee Humu...
Au anataka nigeuza panya, Anitege kwa mitego na kisha aniwekee sumu..
Naamini Imani yangu imeiponya..
Hawezi kuwa nami naamini ye ana ngoma... [emoji54]
 
Wana fanyeni michano, ili mzidi kuwakosha

Usiogope kwa mfano, eti mpaka uwe Ngosha

Hapa hakuna mapambano, bali ni elimu tosha

Kwa mistari ya makamo, heshima tunarudisha

Kwa mistari konde, tunazidi kusonga

Wacha fala aiponde, na kugeuka kinyonga
 
Najua yeye ni mrembo sana, Ila Nacho jiuliza kwann anipendee Humu...
Au anataka nigeuza panya, Anitege kwa mitego na kisha aniwekee sumu..
Naamini Imani yangu imeiponya..
Hawezi kuwa nami naamini ye ana ngoma... [emoji54]
Kweli ni mrembo wa kisasa
Ameumbika anavutia hasa
Ila anaipenda sana anasa
Mzito naielewa yake cv

Kila apitapo yaani ni mikasa
Anatembeza nyama ya kasa
Watu wanasema amenasa
Sio mzima anatumia A.r.v
 
Maisha hayafanani, inabidi kujikoki

Pitia hata dirishani, kama milango ina lock

Hip hop icon, ona hawathaminiki

Wabana pua wana sign, dili za Sony music

Hakuna kosa kama kumkana mzazi/kumtukana kijakazi/ni kutaka laana ya wazi/ Mzito nachana bila ganzi

Mashairi situpi na sikupi nafasi ya kukosoa

Sikurupuki sishuki kama chupi ya changudoa

Nawahukumu kwenye ngumu, bado hawawezi toa droo

Mvumbo nipe ndumu, nitoe sumu nisafishe koo
 
Sogeza hiyo Glass nimiminie na Wine kiasi.
Nidumbukizie Ice nirushie hiyo pakti ya Embassy.
Nirushie na Nali, cheki hapo juu kuna Aspeni, Chata yako Sholii, check na friji Kuna Champagne.
Roll Mama! Roll hiyo Weedie.
Mixer hata na star Mama kama ikibidi.
Ntembezee Nicotine babe ntembezee Weeda.
Ntembeze na alcohol ntembezee nisahau shida.
Wenye nchi wame bet viongozi Ni vvurugu tupu.
Leo mikeka inachanika imeliwa na panya buku.
Wenye nchi wanapokula kuku wananchi wanapoona wivu.
Shwari inageuka hari mtaani vurugu tupu.
Natega masikio yangu ili nisikie Sauti ya haki.
Sisikii chochote zaidi ya sauti za risasi.
 
Wanasema hip hop imelega, hivyo wanakimbia mtanange

Wanasema Vinega, wanaendeshwa na bange

Bado nipo bega kwa bega, watoto wamama mjipange

Mvumbo nyota kila bega, kama General Mwamunyange
 
Napitia pitia nyuzi, na habari moto moto

Nakutana na uzi, toka kwako Mtu mzito

Kwamba una makuzi, unapenda sana watoto

Ukiwaona huzungumzi, kama vile arosto

Weka wazi yupi anakudatisha

Ufunge kazi kwa pingu za maisha
 
Napitia pitia nyuzi, na habari moto moto

Nakutana na uzi, toka kwako Mtu mzito

Kwamba una makuzi, unapenda sana watoto

Ukiwaona huzungumzi, kama vile arosto

Weka wazi yupi anakudatisha

Ufunge kazi kwa pingu za maisha
Mwana yaliyomo yamo, na wala sifanyi sifa

Avae jeans kama Lenamo, awe mweupe kama Nifah

Nitampenda kama nini, ya Mshana siyasikii

Na tukila upepo baharini, avae bikini kama Rubii

Awe anasukaga, kama vile Heaven sent

Na asiwe kama Miss chagga, kuwaza sana sent

Awe haswa ameumbika, kama vile Valentina

Asiwe na uongo wa Monica, awe kama Jimena

Mzuri kama Lizziebettie, mahips kama Lisa rina

Amaizing akiketi, utatamani asimame tena

Busara za Nimpende nani, na maswali kama Aggyjay

Lips tamu kama Mhuni, hapo itakuwa ni okay

Awe mpole kama Munkari, hapo kitambi kitajileta

Na asipende sana magari, yaani kama Preta
 
Back
Top Bottom