Habari kubwa leo

Yusuph Issa

JF-Expert Member
Jun 20, 2013
528
82
habari wadau wa jf kwa habari nilizopata muda huu ni kwamba nafasi za ajira jeshi la polisi zimetangazwa leo kazi kwenu wadau mimi bado naendelea kusoma!!!!!
 
kwayoyote anayefahamu jinsi ya kutuma maombi ya kujiunga na jeshi la polisi tz naomba anijulishe na haakikishe kama kweli zmetoka au wapi niende ili nikapate maelezo zaid jinsi ya kujiunga na mafunzo ya polisi tz
 
kwayoyote anayefahamu jinsi ya kutuma maombi ya kujiunga na jeshi la polisi tz naomba anijulishe na haakikishe kama kweli zmetoka au wapi niende ili nikapate maelezo zaid jinsi ya kujiunga na mafunzo ya polisi tz

tembelea www.policeforce.com kupata info au kama vip ni PM
 
kwayoyote anayefahamu jinsi ya kutuma maombi ya kujiunga na jeshi la polisi tz naomba anijulishe na haakikishe kama kweli zmetoka au wapi niende ili nikapate maelezo zaid jinsi ya kujiunga na mafunzo ya polisi tz

0657748473
nipigie
 
oya jamani mbn policeforce akuna ki2 chochote mwemye habari basi aseme kazitoa wapi?

mkuu ndeka hizi habari amenipa mshua leo coz father ni polisi kitengo fulani so inawezekana nafasi zimetangazwa leo but bado hawajaweka katika mtandao be patient mkuu!!!!!!
 
habari wadau wa jf kwa habari nilizopata muda huu ni kwamba nafasi za ajira jeshi la polisi zimetangazwa leo kazi kwenu wadau mimi bado naendelea kusoma!!!!!

Hizo nafasi zitakua kwa kila graduate mwenye uhitaji au waliomaliza mwaka huu pekee ?
 
yusuph lakini policeforce wameweka tangazo la wale walioitimu 4m4 2013 na 4m 6 2014 wataajiriwa kupitia mashulen na walisema watatoa majina kwenye magazete bt 2pe info inakuwaje ili 2ombe
 
yusuph lakini policeforce wameweka tangazo la wale walioitimu 4m4 2013 na 4m 6 2014 wataajiriwa kupitia mashulen na walisema watatoa majina kwenye magazete bt 2pe info inakuwaje ili 2ombe

Hii habari imeishaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom