Haaaaaa haaaaaaaa haaaaaaaaaaa!!!

Ntampiga na chupa ili azimie nchukue kisodaa loo akija amka network zmekata
 
Ninaumwa sana, ila baada ya kusoma hapa nimecheka mpaka wanaoniuguza wanashangaa.
 
Tutagawana Kwa Kweli!Hawezi Ondoka Hvi Hvi,lazma Kieleweke.
 
Imetokea umepata mgeni nyumbani kwako. Kama kawaida ya ukarimu kwa wageni, ukampatia Soda, Mgeni alipofungua soda, akaona ameshinda Tsh.1000,000/=. Halafu akakuonesha kwamba ameshinda, Then anaaga aondoke... Utamfanyaje?

kwanini anioneshe?ila ntampa asepe
 
Imetokea umepata mgeni nyumbani kwako. Kama kawaida ya ukarimu kwa wageni, ukampatia Soda, Mgeni alipofungua soda, akaona ameshinda Tsh.1000,000/=. Halafu akakuonesha kwamba ameshinda, Then anaaga aondoke... Utamfanyaje?

Namwitia mwizi..😈😈
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…