PreGE2025 Gwiji wa uchumi Dkt. Bravious Kahyoza atia nia ubunge jimbo la Muleba Kusini

PreGE2025 Gwiji wa uchumi Dkt. Bravious Kahyoza atia nia ubunge jimbo la Muleba Kusini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mtaalamu mahiri wa masuala ya uchumi nchini, Dkt. Bravious Kahyoza, amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Muleba Kusini mkoani Kagera kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Hatua hiyo inadhihirisha dhamira yake ya dhati ya kuwatumikia wananchi kupitia jukwaa la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Screenshot 2025-06-29 001048.png
 
Mtaalamu mahiri wa masuala ya uchumi nchini, Dkt. Bravious Kahyoza, amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Muleba Kusini mkoani Kagera kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Hatua hiyo inadhihirisha dhamira yake ya dhati ya kuwatumikia wananchi kupitia jukwaa la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hongera sana Kahyoza. Je ugwiji wako umetokana na nini?
 
Ni kichwa haswaa ila watu wa hivi ni ngumu kupenya CCM kungekua na tume huru ningemshauri agombee upinzani
 
Kwann usiseme mchumi wa kagera ,tumeshakuwa na akina muhongo bado taifa likapata hasara ......msomi mzima haelewi umuhimu wa reforms na unashuhudia akithibitisha ujinga kwa kuchukua form
Huyu ni Abunwasi mwache hivyo hivyo

Ndiyo msomi alienda madarasani kukaririshwa tuu
 
Comrade Dr Kahyoza hongera sana. Tunakutakia yaliyo mema, na ushindi!
 
Back
Top Bottom