Gwaride la China 1949 Vs 2025 Tusikate tamaa Watanzania

Gwaride la China 1949 Vs 2025 Tusikate tamaa Watanzania

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
5,752
Reaction score
10,523
Gwaride la kijeshi la China 1949 Vs 2025
20250904_195626.jpg


Tusikate tamaa labda kuna siku nasi tutafika huku
 
Nakumbuka siku ile kikwete anafunga bunge alisema wakati fulani Tanzania itakuwa imefikia marekani kwa uchumi maendeleo na teknolojia.
 
Nakumbuka siku ile kikwete anafunga bunge alisema wakati fulani Tanzania itakuwa imefikia marekani kwa uchumi maendeleo na teknolojia.
Kauli za kisiasa sababu hayo mataifa yenyewe yanazidi kusonga mbele kutoka hapo walipo, by then tunawafikia wap watakuwa kwengine
 
Nakumbuka siku ile kikwete anafunga bunge alisema wakati fulani Tanzania itakuwa imefikia marekani kwa uchumi maendeleo na teknolojia.
Inawezekana tukikaza
 
jwatz hii ambayo maenesho wanaonyesha kupasua mawe na kubeba mizigo mikubwa ikifika 2100 wapasua mawe watakuja na nyundo na watabeba kontena kwenye gwaride
 
Ni mpaka siku ccm na genge lake la wahuni wakikubali kuiachia nchi kwa hiari, au hata kwa nguvu.
 
Back
Top Bottom