Huo ubunge wenyewe alipewa na magufuli kwa wizi wa kura , hakumshinda Halima Mdee
Hili ni jiji, sio rahisi mlugaluga wa maporini kushinda labda uwe na koneksheni
Tuliona kilaza Bashite alivyofanywa na wajumbe
Labda akagombee huko maporini alikotoka.....