Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,006
- 72,300
Huyu jamaa Hua Ana mikwara aiseee ,na Hua Ana msimamo hivi,alinifurahisha Sana alimpojibu bulembo na kumwambia "Bulembo nikijibu Tanzania itatikisika,halaf mi nitajibu waliokutuma ,bulembo usiponyamaza nitakufata ulipo mim Nina helkopta iko Tu pale nje imepaki,usidhan haina mafuta"
aisee Gwajima hunipa raha Ana vituko Sana
kama unajua mengne tuweke hapa tufurahi
halaf tumebakiza siku 1 Tu tupige kura ,usipoteze kura yako chagua Lowassa,mbunge WA ukawa na diwani WA ukawa
siku njema
cc nifah tofali kim Nana cute b na wengineo wengiii
aisee Gwajima hunipa raha Ana vituko Sana
kama unajua mengne tuweke hapa tufurahi
halaf tumebakiza siku 1 Tu tupige kura ,usipoteze kura yako chagua Lowassa,mbunge WA ukawa na diwani WA ukawa
siku njema
cc nifah tofali kim Nana cute b na wengineo wengiii
Last edited by a moderator: