Mmeshamaliza kumhoji dada'ke?Nadhani walikaa mafuchoni na kutoa ya moyoni. Je mmemaliza kuongea au mtatafuta tena muda kuongea tena?
Naona umekuja na New ID.Nadhani walikaa mafuchoni na kutoa ya moyoni. Je mmemaliza kuongea au mtatafuta tena muda kuongea tena?
Kwa hiyo kawaweka kiporo kwenye zile 75% alizoacha kusema?Kuna makombora yakianza kuchomoka utajua kama pole pole kamaliza au bado!! Chama kijisahihishe.