Gwajima kesho kusuka au kunyoa

Kiongozi hauelewiki vizuri.
"Watanzania sio wajinga kiasi hicho" nikimnukuu kiongozi maarufu.

Inakuwaje baba Askofu anavua shati kanisani na kujirekodi hata kama kanisa lilikuwa halijaisha?

Hili dude mnalo tu, kila mnapojaribu kulizima ndio mnaliamsha linakuwa jipya kama la jana.
 
Mtu ka forward sms hiyo halafu unamwambia akupe og video . Si unataka kumpa adhabu mwenzako.
Huko huko alikotoa hili bandiko adadisi ili tupate OG maana kumchafua baba Askofu sio vyema...!
 
Hujanishawishi katu
 
Simbilisi tuu ndio watakubali huu utetezi.. ile clip ni gwajima kabisa. Sema zile video walizichukua polisi kwemhe simu yake au computer walipo tembelea nyumbani kwake wakati ule ana pambana na makonda.

Wanaswma kuna nyingine zitarushwa.
haya tusubiri kesho
 
kasoro kubwa kwenye hiyo move ni huyo binti kuficha sura,haimake sense gwajima ajirecord akionyesha sura kisha mwanamke ahakikishe sura haionekani

Mkuu Elungata,,yaani Gwajiboy na usomi wake ,na uchungaji wake wa kondoo ,analala na mwanamke ampe kisogo vile ,

Kwanini mwanamke ahakikishe haonekani ila mwanaume ndo yuko busy mpaka na kurekebisha camera. Umeona hapo huenda kuna jambo.

Ni vizuri tukawa "dilemma" tusimtete sana bin-adamu mwenzetu wala tusimwamini . .
Mkuu tumwamini Mungu muumba wa mbingu na nchi tu
 
Askofu ni yule mtu aliyesimikwa na kanisa fulani kuongoza watu wa Mungu.
Sasa siajaonaga akisimikwa kajipa jina tu nadhani.
Kuna askofu wa Kanisa la kilokole uliona au kusikia akisimikwa kuwa askofu Tanzania hii ?

Ninaowafahamu wote walijipa hadhi ya uaskofu baada ya kukuza makanisa yao na kujitengenezea wachungaji wao.
 
Huko huko alikotoa hili bandiko adadisi ili tupate OG maana kumchafua baba Askofu sio vyema...!
Hakuna cha og wa copy ya og. Cha muhimu ni kwamba huyo Gwajima akiona yuko sawa aendelee na shughuli zake na kondoo waliobaki
 
Mabilioni kanisani tena mkuu duuu. Ila kweli hiyo real waiyonyeshe tufanye comparison kati ya ile ya mwanzo na hiyo original otherwise ba'mtumishi akubali tu amebinua meza.

Nawaza hivi yule mama kukubali sema kwamba yule sio mtumishi kasingiziwa na wakati ameona video yeye sura ya Mzee,Siku hiyo sjui alikunywa divai kiasi gani mama Wa watu?
 
Jamani msimuandame Gwajima. Yeye pia ana madhaifu kama ilivyo kwetu sote. Kuteleza sio kuanguka
 
Jamani msimuandame Gwajima. Yeye pia ana madhaifu kama ilivyo kwetu sote. Kuteleza sio kuanguka
 
YALE MANENO KUWA MUVI INADHIHIRISHA UDUME WA JAMAA MBONA SIYAONI HAPA?
 
Baba askofu hakuna alipo kosea..Na asye kosea ni malaika peke yake fata neno sio matendo
biblia inasema kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzake woote wataangamia,na imani ni matendo sio maneno sasa unatuambiaje tufuate maneno yake wakati ana matendo maovu??
 
Kiongoz tusaidie, ile sauti wakati jamaa anakojoa nayo ni ya chid sio?
 
Gwajima mbona hakukanusha juzi? Badala yake alisema kuwa hiyo inamwonyesha kuwa yeye ni mwanaume rijali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…