Gwajima chukua jimbo la misungwi 2020

Gwajima chukua jimbo la misungwi 2020

Gwajima ameshakueleza kuwa yeye ni zaidi ya Mkuu wa Mkoa, mkuu wa Wilaya, zaidi ya Mbunge, zaidi ya Rais.

KWANI YEYE NI MTUMISHI WA MUNGU AMBAYE ANAONGOZA WAUMINI HAWEZI KUGOMBEA NAFASI YOYOTE YA KISIASA, ATAKUWA DEMOTED.

HIYVO SAHAU KITU HICHO KWA MTUMISHI WA MUNGU.
Mchungaji peter msigwa mbona ni mbunge wa iringa na wengine kibao
 
Back
Top Bottom