Guys were not safe, Maxence take care

nchi inaongozwa na mapepo/majini
 
Inabidi tu uwe smart kwa kufanya yaliyo sahihi na mema mbele za Mungu basi
 
Lisemwalo lipo. Maxence Melo take good care of yourself and your JF members. God bless JF, God bless Melo.
 
Mungu Mwema Kila wakati!
 
Sidhani kama hali iko hivyo.

Cha msingi ni kwa walo nje uendapo TZ uwe clean.

Kama una social media accounts tofautisha kati ya binafsi na harakati.

Pia tukumbuke kwamba sasa hivi kuna advanced technology imekuwa applied huko tisiaraei na hiyo ni habari ya uhakika kabisa.

Juzijuzi nilipata nafasi ya kuhudhuria maonyesho ya teknolojia mbalimbali za usalama na khasa kwenye sekta ya mawasiliano na cybersecurity na nchi nyingi sasa hivi zashindana kupata wateja.

Uturuki, China, Russia na nchi zingine zimekuja juu sana, hivyo tahadhali ni muhimu khasa kwenye sekta ya mawasiliano.

Ni hayo tu.
 
Kule tisi wamejaa makachero vilaza labda udisiklose baadhi ya mambo ili kuwapa njia
 
Kwamba inafanya kazi kumpata watu wenye ID fake
 
Mimi mwenzako nimerekodiwa na serikali y amama samia hadi sasa wanajua namba zangu za simu zote, wanajua my daily routine hata nikijamba na kwa sasa wanajua hadi nimekunya mara ngapi sasa hakuna jipya Sifi Leo kwanza wewe ni mpelelezi kwendraa
Wamekujuaje au hutumii ID fake??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…