BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,462
- 5,366
Nilikua naitafuta comment ya aina hii, umemaliza.Niliwahi kuipiga hii Guinness nikapiga bao 5 bila kupumzika kesho huku jamaa bado kasimama wife akasema umekunywa viagra ? Tangu siku hiyo nikaiweka pembeni kiasi naipiga siku za show za kibabe sio bia ya watoto hii ***** .Mungu azidi kuitunza Guinness .
Aiseee ungenywea bar ungepasuliwa yai bichiHivi hii smirnoff ni kwaajili ya wanawake? Kuna siku nilikunywa nililegea sana viungo bahati nzuri nilinywea maskani
Sent using Jamii Forums mobile app
2000Inauzwaje
Hahah afu unapokunywa unahisi hazina kitu kama soda vile, nilipiga kama vichupa 9 shida ikaanza nlipotaka kunyanyuka. Ila hata nikiwaga nakunywa ngumu huwa sikubali ku hit threshold aise naelewa wahuni wanaweza cheza na sewage system yako kimasihara kabisaAiseee ungenywea bar ungepasuliwa yai bichi
I will buy it for youJamani "Smirnoff black ice" ni tamu
Ahsante F, niko hapa naisubiria..I will buy it for you
Ntakupa maelekezo ya kuipataAhsante F, niko hapa naisubiria..
Atakuwa kachanganya na Serengeti lager.Guinnes najua mie ni 2500Wapi uko kuna guiness ya buku jero?
Guinness ukipiga moja tu kichwa kinaanza kuchangamka
Lite mfuko unateketea kulewa hulewiHapo huiwezi mkuu.....kunywa tu lite
Pombe ipi Hiyo Mkuu inalaza maumbile ?Raha ya pombe ni uinywe alafu isituvunjie heshima Kwa mkeo. Kuna bia zinalaza maumbile ya kiume,piga ya garagaza. Mkeo akiwa na roho nyepesi atakwambia umegonga nje.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Guinness a.k.a Vega, Muboroboro. Ni bia imported foreign extra yenye kilevi Cha 6.5v/v
Ni bia nimeanza kutumia miaka Saba iliyopita hakika Ni bia iliyopikwa ikachemka na kutokota ikapoa ikachujwa kwa umakin wa Hali ya juu karbu tupate.
Wale wadau nawaonaga wanaomba Ushauri Ni jinsi gani wanaweza kuacha pombe Ni nawasii wasiache pombe chonde chonde Sasa unataka kuacha pombe ili unywe nn? Ukiona mtu ana hizi kauli za nataka kuacha pombe Ni Kuna mawili
Moja- anakunywa tapu tapu wanzuki , banana ,gwagwa, rubisi,pombe za kupima ,kitokosi,shujaa nk hzi pombe ukiwa na buku mbili lazima ulewe na unaweza fanya utopolo kesho yake majuto.
Pili - wapenda sifa una ka laki unataka kwenda sehem wanauza bia moja buku nne haraka haraka ukinywa bia kumi mfukoni umebaki na 60 Apo hujapanda Uber,bolt apa ukiendelea kuwepo utapanda boda boda utakula upepo mpka ukome mpka umefika pombe imeisha na kula hujala unapata vichomi Hadi vya matako.
Watu wanaoteseka kwenye pombe Ni wale unajikiuta umezungukwa na wapambe all bills on you ,wapenda madem classic Dem anaagiza kinywaji Cha elfu 40 mapigo ya moyo Yana Anza kwenda zigzag ...wapenda sifa mtaendelea kuumia
ili uendelee kupata lager zako bila majuto zingatia yafuatayo
- Uwe na rafiki mmja au wawili ambao Ni nipe nikupe or let's share this bill
- Kunywa pombe peke yako kwenye bar ambazo Ni nzuri lakin wanauza beer au kinywaji chochote kwa reasonable price kula bia zako safi kabisa afu nenda home kapambane na chaga zako
- Nunua vimiminika weka ndani uwe u akunywa nyumbani kwako
- ikitokea umekutana na mtu bar nae Ni mtumiaji hii Ni emergency mnunulie bia moja tu afu kausha akianza kununua yeye tabasam moyoni we zipige ukitosheka potea na usiage mtu.
- ukipata Dem mtumiaji ...wewe ndo final say wa ku suggest sehem ya kwenda sio Dem anachugua ..labda Kama atalipa bill Apo bro kua mpole fata nyuki .. unless otherwise uswe fara
Drink responsibly
Karbu Guinness Niko chocho tulivu.
Guinness a.k.a Vega, Muboroboro. Ni bia imported foreign extra yenye kilevi Cha 6.5v/v
Ni bia nimeanza kutumia miaka Saba iliyopita hakika Ni bia iliyopikwa ikachemka na kutokota ikapoa ikachujwa kwa umakin wa Hali ya juu karbu tupate.
Wale wadau nawaonaga wanaomba Ushauri Ni jinsi gani wanaweza kuacha pombe Ni nawasii wasiache pombe chonde chonde Sasa unataka kuacha pombe ili unywe nn? Ukiona mtu ana hizi kauli za nataka kuacha pombe Ni Kuna mawili
Moja- anakunywa tapu tapu wanzuki , banana ,gwagwa, rubisi,pombe za kupima ,kitokosi,shujaa nk hzi pombe ukiwa na buku mbili lazima ulewe na unaweza fanya utopolo kesho yake majuto.
Pili - wapenda sifa una ka laki unataka kwenda sehem wanauza bia moja buku nne haraka haraka ukinywa bia kumi mfukoni umebaki na 60 Apo hujapanda Uber,bolt apa ukiendelea kuwepo utapanda boda boda utakula upepo mpka ukome mpka umefika pombe imeisha na kula hujala unapata vichomi Hadi vya matako.
Watu wanaoteseka kwenye pombe Ni wale unajikiuta umezungukwa na wapambe all bills on you ,wapenda madem classic Dem anaagiza kinywaji Cha elfu 40 mapigo ya moyo Yana Anza kwenda zigzag ...wapenda sifa mtaendelea kuumia
ili uendelee kupata lager zako bila majuto zingatia yafuatayo
- Uwe na rafiki mmja au wawili ambao Ni nipe nikupe or let's share this bill
- Kunywa pombe peke yako kwenye bar ambazo Ni nzuri lakin wanauza beer au kinywaji chochote kwa reasonable price kula bia zako safi kabisa afu nenda home kapambane na chaga zako
- Nunua vimiminika weka ndani uwe u akunywa nyumbani kwako
- ikitokea umekutana na mtu bar nae Ni mtumiaji hii Ni emergency mnunulie bia moja tu afu kausha akianza kununua yeye tabasam moyoni we zipige ukitosheka potea na usiage mtu.
- ukipata Dem mtumiaji ...wewe ndo final say wa ku suggest sehem ya kwenda sio Dem anachugua ..labda Kama atalipa bill Apo bro kua mpole fata nyuki .. unless otherwise uswe fara
Drink responsibly
Karbu Guinness Niko chocho tulivu.