Guarantee ya ndoa

Silivian

Member
Joined
Nov 13, 2022
Posts
88
Reaction score
212
Kuna jamaa alikuwa na mahusiano yenye umri wa takribani miaka kumi mpaka wakulungwa wakaamini hawa ni kifo tu kitawatenganisha, Ila huwezi amini message moja tu ya simu iliua haya mahusiano tukabaki midomo wazi.

Tulichojifunza ni kuwa umri wa mahusiano yenu hauguarantee ndoa.
 
Ndoa za mkataba ni muhimu ziwepo mambo ya kuishi na mtu moja kwa moja ni tabu tu
Hivi inakuaje hii kwamba mkataba ukiisha mnakaa chini kujadiliana mrenew au lah? Vipi kuhusu kipengere cha mgao wa mali kinakuwepo?
 
Huo ujumbe wa simu ulikua unasemaje
 
Sijui, lakini nafikiri huyo mwanaume alikua ni aina kama yule mchezaji mbrazil Kaka. Akagundua kitu kwa mke. Watu wa hivyo maamuzi Yao ni magumu sana.
 
Kama waliishi miaka 10, Hiyo ndi ndoa tosha, hawakua na cheti tuu.

Walio funga harusi tu hawatoboi miaka 10
 

Alikuwa na mahusiano au ndoa?
 
Ndoa za mkataba ni nzur haswa kama hamtazaa ila mkizaa mnawapa tabu watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…