mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
sijakaa sawa nikajikuta nimeungwa grup la clasmets wa O-level.....nikakausha
siku mbili baadae naombwa namba na clasmet wa primary eti nimpe no nayotumia watsap kabla sijamjibu nikaungwa....la pili ilo
juzi nimeungwa la wana chuo,mtaani ninalo wa wazazi wa jumuiya....bado nna grup la wanywaji wenzangu..bado nna grup la ukoo !!
nimejikuta nna magrup 9 mpaka sasa message hadi 1500......ukijitoa unaonekana unaringa...aisee hii kitu ni hatari!!
bado jf,fb,insta and tweeter...kaz mtafanya kweli bandugu???hii ni thidaaa
siku mbili baadae naombwa namba na clasmet wa primary eti nimpe no nayotumia watsap kabla sijamjibu nikaungwa....la pili ilo
juzi nimeungwa la wana chuo,mtaani ninalo wa wazazi wa jumuiya....bado nna grup la wanywaji wenzangu..bado nna grup la ukoo !!
nimejikuta nna magrup 9 mpaka sasa message hadi 1500......ukijitoa unaonekana unaringa...aisee hii kitu ni hatari!!
bado jf,fb,insta and tweeter...kaz mtafanya kweli bandugu???hii ni thidaaa