Greencard results out..

phina

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
414
Reaction score
126
Wadau,

Wale waliojaza form za kuomba greencard matokeo ya round ya kwanza yametoka!
all the best
 
Wadau.,
Wale waliojaza form za kuomba green card matokeo ya round ya kwanza yametoka!
all the best

Aise phina mimi napenda tu unifahamishe mchakato mzima khsiana na hilo zoezi la kupata hiyo green card mpaka mtu anafikia hatua ya kwenda kuishi Marekani, huwa inakuwakuwaje hasa?!
 
Last edited by a moderator:
mbona yametoka toka mei mosi....imebaki raundi ya pili october.
 
..Guys mi nimekua selectd! Je kuna mwenzangu aliechaguliwa?
 
Jipangeni sasa kwa ajili ya kupima afya zenu, Moyo, HIV, Macho, na magonjwa mengine kama mpo Tanzania kuna Hosptali yao ambayo wanaikubali ipo msasani namanga lazima uwe na $800 macho wanapima pale shoprite.
 
Mhhh! ulishawahi kushinda nini Mkuu Ritz au ni mtu wako wa karibu aliwahi kubahatika? Kila la heri kwa waliobahatika muanze kududulinza vijisenti vya kuanzia maisha.

Jipangeni sasa kwa ajili ya kupima afya zenu, Moyo, HIV, Macho, na magonjwa mengine kama mpo Tanzania kuna Hosptali yao ambayo wanaikubali ipo msasani namanga lazima uwe na $800 macho wanapima pale shoprite.
 
Last edited by a moderator:
Mhhh! ulishawahi kushinda nini Mkuu Ritz au ni mtu wako wa karibu aliwahi kubahatika? Kila la heri kwa waliobahatika muanze kududulinza vijisenti vya kuanzia maisha.

Hapa sio mie kuna jamaa yangu alishinda Greencard...angalizo kuna Greencard za wa Nigeria vile vile za utapeli wanakuambia umeshinda tuma $300 kwa ajili ya gharama.
 
Last edited by a moderator:
Jipangeni sasa kwa ajili ya kupima afya zenu, Moyo, HIV, Macho, na magonjwa mengine kama mpo Tanzania kuna Hosptali yao ambayo wanaikubali ipo msasani namanga lazima uwe na $800 macho wanapima pale shoprite.

Nan kasema 800$! Io hosptal kwel ipo namanga apo best byte..bt co 800$...sh.laki 3 za ktanzania tu! Visa fees mwaka hu ni $350..new reducd fiiz,tofaut na miaka mingne ya nyuma ilikua 800,nadhan umechanganya na io medico!
 
Nan kasema 800$! Io hosptal kwel ipo namanga apo best byte..bt co 800$...sh.laki 3 za ktanzania tu! Visa fees mwaka hu ni $350..new reducd fiiz,tofaut na miaka mingne ya nyuma ilikua 800,nadhan umechanganya na io medico!

Sidhani kama kuna haja ya kubishana nilichokiandika nina uhakika nacho mpaka visa ulikuwa unalipia labda mwaka huu wamebadili kwa wale waliobahatika kupata greencard miaka miwili au mitatu ya nyuma watanisaidia.
 
Jipangeni sasa kwa ajili ya kupima afya zenu, Moyo, HIV, Macho, na magonjwa mengine kama mpo Tanzania kuna Hosptali yao ambayo wanaikubali ipo msasani namanga lazima uwe na $800 macho wanapima pale shoprite.

Umekalili mkuu!!! Hospital moja ipo namanga ndio nini?
 
Umekalili mkuu!!! Hospital moja ipo namanga ndio nini?

Ebu nisome vizuri sio kuropoka tu hayo maneno ni yako...mie nimeandika kuna hospital ipo msasani namanga kwa mtu anaeijua Dar anaelewea Msasani Namaga ni wapi.

Halafu sio kukalili ni kukariri.
 
Mkuu ebu tufahamishe kumbe unaweza kushinda US Greencard halafu ukaenda kuishi Ulaya.

When i said ulaya i meant nchi za nje.. Marekani europe kote ni ulaya.. Greencard ya nini tulieni bongo.. Wenzio wamarekani wanakimbia huko wanakuja kula nchi yetu hapa
 
Ebu nisome vizuri sio kuropoka tu hayo maneno ni yako...mie nimeandika kuna hospital ipo msasani namanga kwa mtu anaeijua Dar anaelewea Msasani Namaga ni wapi.

Halafu sio kukalili ni kukariri.

Toa jibu moja hospital flan sio umesikia maneno ya vijiweni then unakuja kutuambia hospital flan ipo msasani acha ujuaji mkuu,hospital inaitwa Primary care ipo Best bite acha kukurupuka na sio kwamba unatoa 800$ ya hospital,na pia medical exermination fee ni kama 660,000/=,kama haujui uliza na unabaki tu kukosoa herufi utaishia hvyo hvyo na maneno yako ya vijiweni.....Primary care ipo msasani??? Best bite ndio msasani??
 


Ni Premier Care mkuu not Primary..
 

Naona unazidi kufatuka halafu hujui chochote mambo ya best bite nani kakauambia hiyo fee ya 660,000 ya lini? Labda hiyo sasa hivi sio miaka miwili ya nyuma...halafu kuna gharama za kwenda kwa Optician pale Shoprite unalipa 100,000 Visa ya Marekani ilikuwa $800 kweli mie ni mtu wa vijiweni lakini ndio nakufahamisha hujue kama Visa ni bure labda sasa hivi.
 
Yale yaleeeeeeee!

Yale yale vipi wakati hujui hata hiyo hospital inaitwaje eti inaitwa Primary Care ngoja basi nikufahamishe...

Inaitwa Premier Care ipo All Hassan Mwinyi Road, Namanga karibia na Best Bite kwa Dr Omar Awadh na Dr Pierre Berva.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…