imma_cafelatino
Senior Member
- Dec 5, 2017
- 173
- 178
- Thread starter
- #21
Sasa mkuu wengine hawana uwezo wa kusafirisha labda au wanaogopa kuzikwa makaburi Yale yaliyochini ya manguzo ya Tanesco.ahahaWacha watu wapigwe cha juu kutaka ufahari wa kuzikwa KINONDONI au KISUTU