Graveyard kinondoni Imejaa.

Graveyard kinondoni Imejaa.

Makaburi mengi yamejaa kwa sasa. Maana tangu enzi na enzi, watu wanazikwa kila siku, tangu niwe na akili ya kufuatilia misiba mpaka sasa ni mtu mzima, nashangazwa kujua bado mazishi yanafanyika katika maeneo niliyoyajua tangu utoto wangu.
Hata mie huwa najiuliza sana how comes maeneo ya kuzikia tena dar huwa hayajai. Tango utotoni mpk leo mtu mzima bado maelrehemu wanaendelea kuzikwa. Reference Makaburi ya Chang'ombe-Temeke Dsm..
 
Mh RC ajitahidi kama alivyotenga maeneo ya showroom za magari basi hata pale mawasiliano kwa nyuma wajenge graveyard na maeneo mengine. Graveyard zetu ziwe safi na nzuri kama za World war veterans.
 
Wakuu naomba kuwasilisha..Makaburi ya kinondoni yamejaa kiasi kwamba hata sehemu ya kuzikia ni shida.Sana Sana unauziwa eneo kinyemela na ndugu yako kuzikwa juu ya kaburi la miaka mingi na ambalo halikujengewa.

Ifike wakati mamlaka husika zizuie watu kuzikwa pale maana ni janga kubwa mnoo.

nawasilisha wakuu kwa maoni.
Makaburi hayajai.
 
Kama yamejaa muende mkazikwe vijini kwenu ata kwa miaka ya baadae muwe mnaenda hija vijini na ndio itakuwa mwanzo wa maendeleo ya vijini, kwani mtajenga nyumba nzuri ambazo mtakuwa mnafikia.vizazi vyenu havitapoteza uhalisia wao.
 
Back
Top Bottom