imma_cafelatino
Senior Member
- Dec 5, 2017
- 173
- 178
Wakuu naomba kuwasilisha..
Makaburi ya Kinondoni yamejaa kiasi kwamba hata sehemu ya kuzikia ni shida. Sana Sana unauziwa eneo kinyemela na ndugu yako kuzikwa juu ya kaburi la miaka mingi na ambalo halikujengewa.
Ifike wakati mamlaka husika zizuie watu kuzikwa pale maana ni janga kubwa mnoo.
Makaburi ya Kinondoni yamejaa kiasi kwamba hata sehemu ya kuzikia ni shida. Sana Sana unauziwa eneo kinyemela na ndugu yako kuzikwa juu ya kaburi la miaka mingi na ambalo halikujengewa.
Ifike wakati mamlaka husika zizuie watu kuzikwa pale maana ni janga kubwa mnoo.
