Gration Mukoba anatishia nyau

Gration Mukoba anatishia nyau

Hapa naona kama alikuwa amesahalika sana sasa anatafuta namna ya kutajwa tajwa. Wafanyakazi wanapata tabu hasemi chochote. Walimu "wanapigwa" yeye yuko bize tu na ishu zake. Nadhani CWT ni.moja ya vyama ambavyo havina tija kwa wanachama wake.
 
Tumeshamzoea. By the way Serikali ya Magufuli inajali sana watumishi wake
Itujali pia kwa kushughulikia jipu la CWT amtume CAG 2% za mishahara yetu zinatumika vibaya!! Tanzania vyama vya wafanyakazi no vijiwe cya kupiga hela!!
 
CWT ni jipu aiseee....
Hawajifunzi kwa wenzao toka Kenya....???
Ndo mana cc uku kwetu tulishawakataaa na usanii wao siku nyiiingi....................
Maana wao wenyewe ndo wanyonyaji namba moja wa walimu...................shame on them...
 
Back
Top Bottom