Graph ya UKAWA inapanda au inashuka?

Graph ya UKAWA inapanda au inashuka?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Wakuu kwa tathimini yenu graph ya UKAWA inapanda au inashuka?....Kiunzi cha hotuba ya rais imepita,kiunzi cha spika wa bunge imepita...kusherekea sikukuu ya uhuru ni usafi ili swala za Zanzibar lisijitokeze.

Je kwa mwelekeo huu graph ya UKAWA inapanda au inashuka?
 
I
.. n
..... a
........ s
............ h
............... u
................... k
....................... a
......................... a
 
Wee acha tu. Graph itaendelea kushuka mpaka pale chadema asilia tutakapoleta ukombozi wa kifikra na kimfumo. Ni mpaka pale kundi la mafisadi lililotokea ccm litakapofukuzwa kutoka chadema, hapo ndipo ukawa itaanza kupata nguvu
 
Wee acha tu. Graph itaendelea kushuka mpaka pale chadema asilia tutakapoleta ukombozi wa kifikra na kimfumo. Ni mpaka pale kundi la mafisadi lililotokea ccm litakapofukuzwa kutoka chadema, hapo ndipo ukawa itaanza kupata nguvu

Ingeshuka ,polisi Mwanza wasingevunja sheria kwa kukataza mazishi ya mawazo kwa kisingizio ,kisicho na masingi.Ingeshuka mpka leo haki ya kikatiba na kisheria ,ya kukutana nabkupata habari isingekanyangwa na jeshi la polisi kwa kisingizio cha kuweka-sawa khali ya kiusalama.Hii yote ni kuongopa wanayoyajua wao .kimtazamo woga huu ,usingekuwepo kama chadema na ukawa wasingekuwa na nguvu.UKAWA na chadema ni nguvu ya umma haitashuka.waruhusu nayo ioate jukwaa la kuwemea ,uone kama inashuka au inapanda.
 
Ishuke..ipande, muhimu ni maendeleo
 
hivi tukifanya usafi kwa kukusanyika hakuna mlipuko kweli ngoja nikaombe kibali polisi maana hichi kipindupindu ni shida kinaweza pindua taratibu mpaka za maziko lo!!!!
 
Hivi tanzania kuna democrasia?Me naona ni ubabe na majeshi kutumika kama naniliu....,utafanyeje tathimini ktk hali hi?
 
ingeshuka ,polisi mwanza wasingevunja sheria kwa kukataza mazishi ya mawazo kwa kisingizio ,kisicho na masingi.ingeshuka mpka leo haki ya kikatiba na kisheria ,ya kukutana nabkupata habari isingekanyangwa na jeshi la polisi kwa kisingizio cha kuweka-sawa khali ya kiusalama.hii yote ni kuongopa wanayoyajua wao .kimtazamo woga huu ,usingekuwepo kama chadema na ukawa wasingekuwa na nguvu.ukawa na chadema ni nguvu ya umma haitashuka.waruhusu nayo ioate jukwaa la kuwemea ,uone kama inashuka au inapanda.


ukawa/chadomo wako chali! Wamekwama! Wamebaki na mtaji wa misiba na migomo!
 
sioni haja ya uchaguzi wa 2020, hakuna wa kupambana na Magu, atawatia aibu tu wenzake
 
Hivi tanzania kuna democrasia?Me naona ni ubabe na majeshi kutumika kama naniliu....,utafanyeje tathimini ktk hali hi?


Hatutaki demokrasia ubabe ndio utatukomboa maana hamna namna!!!!
 
Back
Top Bottom