Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,522
Hizi ni sehemu za kujiburudisha kwa vinywaji/chakula kwenye compound moja hapo jijini Dar. Ila sehemu moja pamoja na kulisha wasomi wakubwa nchi hii mazingira ni hafifu (ikiwemo vyoo vyake). Sijui wasomi wetu wanakwama wapi?
GRANO CAFFE
GRANO CAFFE
,mkuu unayeishi naye ana kazi usiku
