lachicaguapa
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 269
- 72
Ulikuwa siku ya furaha kumaliza shule, mgeni rasmi alikuwa waziri wa jamii.
Sasa ukafika Wakati wa kuimba kwaya,
Wimbo ulikuwa Kama ifuatavyo
Muongoza kwaya :Wanawake munapenda nini?
Waitikiaji; sisi tunapenda MBooooooooo. Mbooooooooooo......ga za majaniiiiiiiii ili tujenge mwili
Muongoza kwaya: wanaume munapenda nini sisi tunapenda KUMAaaaaaaaaaaah,kumaaaaaaa...lizashuleeee tujenge taifa..
Muheshimiwa nusura achape lapa...maana alikuwa amefumba macho badala ya kuziba masikio.
Sasa ukafika Wakati wa kuimba kwaya,
Wimbo ulikuwa Kama ifuatavyo
Muongoza kwaya :Wanawake munapenda nini?
Waitikiaji; sisi tunapenda MBooooooooo. Mbooooooooooo......ga za majaniiiiiiiii ili tujenge mwili
Muongoza kwaya: wanaume munapenda nini sisi tunapenda KUMAaaaaaaaaaaah,kumaaaaaaa...lizashuleeee tujenge taifa..
Muheshimiwa nusura achape lapa...maana alikuwa amefumba macho badala ya kuziba masikio.