samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,478
- 24,250
Mlioko vyuoni na graduates wote mzingatie sana haya mnapoingia kwenye huu ulimwengu sasa..
1. Kiingereza jamani hakiepukiki sasa, jifunze kwa nguvu zote ukiwa shule au mtaani, zaidi ya 60% ya makampuni yanayofanya kazi hapa ni ya kimataifa na jamii tofauti za kimataifa.
2. Jijenge uwe wa kimataifa, usiogope kuwa trainee kwenye international company,hiyo ni nafasi yako ya kuwa wa kimataifa kwa kujifunza standards na tabia za uchapa kazi na uwajibikaji.
3. Facebook, instogram, whatssap, tweeter visiwe ndio sehemu yako ya maisha, tumia mtandao na mitandao kukuza upeo wako na kuijua vizuri taalumu uipendayo.
4. Starehe ukiwa shule sio nafasi yake, ukiwa na hela huku mtaaani starehe utazifanya sana na akina dada au akina kaka wazuri utawapata sana huku, time ya shule fanya shule, huyo uliyekuwa naye anataka android nawe hela huna tutakugongea tu tukuambukize madudu washa.
5. Fanya uchunguzi vizuri wa taaluma unayotaka kuchagua usikalili, soma zile taaluma ambazo zitakazokufanya uwe wa kimataifa.
6. Usije kutegemea serikali kuwa sehemu ya msaada katika future yako, pambana mwenyewe, jitambue mapema ukiwa na umri mdogo nini unachohitaji kwenye future yako.
7. Jenga nidhamu ya maisha.
8. Ukishamaliza shule watoe baba na mama kwenye kichwa chako, mjomba asiwe sehemu ya maisha yako tena.
9. Toa mawazo ya rushwa rushwa kwenye kichwa chako katika kutafuta maisha yako, jifunze kupambana bila msaada wa rushwa, iwe ya ngono au nyingineyo.
10. Egemea kwenye ukweli, uaminifu na uchapa kazi.
Ukizingatia hayo yatakusaidia kwenye maisha yako na taifa lako kwa ujumla.
1. Kiingereza jamani hakiepukiki sasa, jifunze kwa nguvu zote ukiwa shule au mtaani, zaidi ya 60% ya makampuni yanayofanya kazi hapa ni ya kimataifa na jamii tofauti za kimataifa.
2. Jijenge uwe wa kimataifa, usiogope kuwa trainee kwenye international company,hiyo ni nafasi yako ya kuwa wa kimataifa kwa kujifunza standards na tabia za uchapa kazi na uwajibikaji.
3. Facebook, instogram, whatssap, tweeter visiwe ndio sehemu yako ya maisha, tumia mtandao na mitandao kukuza upeo wako na kuijua vizuri taalumu uipendayo.
4. Starehe ukiwa shule sio nafasi yake, ukiwa na hela huku mtaaani starehe utazifanya sana na akina dada au akina kaka wazuri utawapata sana huku, time ya shule fanya shule, huyo uliyekuwa naye anataka android nawe hela huna tutakugongea tu tukuambukize madudu washa.
5. Fanya uchunguzi vizuri wa taaluma unayotaka kuchagua usikalili, soma zile taaluma ambazo zitakazokufanya uwe wa kimataifa.
6. Usije kutegemea serikali kuwa sehemu ya msaada katika future yako, pambana mwenyewe, jitambue mapema ukiwa na umri mdogo nini unachohitaji kwenye future yako.
7. Jenga nidhamu ya maisha.
8. Ukishamaliza shule watoe baba na mama kwenye kichwa chako, mjomba asiwe sehemu ya maisha yako tena.
9. Toa mawazo ya rushwa rushwa kwenye kichwa chako katika kutafuta maisha yako, jifunze kupambana bila msaada wa rushwa, iwe ya ngono au nyingineyo.
10. Egemea kwenye ukweli, uaminifu na uchapa kazi.
Ukizingatia hayo yatakusaidia kwenye maisha yako na taifa lako kwa ujumla.