Grace Mugabe afanya ngono na Gono

Grace Mugabe afanya ngono na Gono

AFR12_ZIMBABWE_0118_11.jpg


Zimbabwe's President Robert Mugabe and his wife Grace arrive for the burial of national heroine Sunny Takawira at National Heroes Acre in Harare January 18, 2010.


dn2firstzimbabwe3.jpg


The South African Sunday Times newspaper reported that the wife of Zimbabwean President Robert Mugabe, Grace (above), who is 41 years younger than Zimbabwe's 86-year-old president, has had a five-year affair with Central Bank governor Gideon Gono.


dn2firstswaziland3.jpg


The wife of Zimbabwean President Robert Mugabe, Grace (L), and one of the wives of King Mswati III of Swaziland attend the swearing-in ceremony of new Prime Minister Morgan Tsvangirai, head of the opposition Movement for Democratic Change (MDC), at the State House in Harare on February 11, 2009


dnhagen1612b.jpg


President Mugabe arrives at Copenhagen Airport in Denmark, to attend COP15 United Nations Climate Change Conference. Copenhagen 15.12. 2009.


ROM104_FOOD-SUMMIT-_1117_11.jpg


Zimbabwe's President Robert Mugabe attends the United Nations Food and Agriculture Organization (FAO) headquarters during a food security summit in Rome November 17, 2009.
 
Mzee umeliwa!!!!!....

attachment.php

Picha hii nimeipenda, huyu mzee hawezi kabisa kumaliza kiu ya ngono ya Grace. Ni sawa na mtu kutegemea Mandela amridhishe Graca Machel katika ngono, yule mama atakuwa anamtu siku moja moja sana anaenda kupata service ya uhakika. yeye umri wake hawezi kutaka kila siku au wiki, yule hata mara moja kwa miezi miwili halafu inakuwa service ya uhakika anatosheka kabisa na kusubiri tena miezi miwili au mitatu tena
 
Picha hii nimeipenda, huyu mzee hawezi kabisa kumaliza kiu ya ngono ya Grace. Ni sawa na mtu kutegemea Mandela amridhishe Graca Machel katika ngono, yule mama atakuwa anamtu siku moja moja sana anaenda kupata service ya uhakika. yeye umri wake hawezi kutaka kila siku au wiki, yule hata mara moja kwa miezi miwili halafu inakuwa service ya uhakika anatosheka kabisa na kusubiri tena miezi miwili au mitatu tena

sasa Mkuu ya Mama Graca Matchel yametoka wapi tena huku?? Ah!!
 
zuma na ujanja wake walimkazia itakuwa JK....Haya mambo ya relationship bwana yapo complicated....!!!......mwanamke waa leo unaweza kumuoa kwa pesa na akavumilia lakini akishazikamata lazima ata rebel...

Uliza ugomvi wa Museveni Na Col.kIIZA BESIGYE....Shanzo ni besigye aliyekuwa personal doctor wa m7 kule bush....alituhumiwa kumrukia mke wa m7 na m7 na akamrukia mke wa besigye winnie byaguma..........[siku hizi winnie amepewa international post...on recomendation from UG gorvernment.....sasa shangaa imekuwaje akamrecomend mke wa mpinzani wake namba moja aende kufanya kazi nje...kwenye slot ya UG...YOU know kuna international vacancy hupati [ie UN,wb etc] hadi uwe na recomendations toka kwa rais wa nchi yako.....

Mambo ya mapenzi hayatabiriki.....
 
Haya mambo yapo tu, wanaojua kikweli kwamba sisi "baba" zetu ni nani ni "mama" zetu.

Hivyo hakuna anayeweza kumnyooshea mwenzake vidole. Jiulize je, wewe BABA yako ni huyo unayemwita baba?
 
Mugabe ana umri wa miaka 86 na mkewe ni kijana kwa miaka 41; maana yake Grace ana umri wa miaka 45. Kwa maadili ya kiafrika Grace anaweza kuwa Binti wa mwisho au Mjukuu wa mwanzoni kwa Mugabe, na kweli huyu Mheshimiwa ni kiboko!!!

Mzee na yeye!! duh! Si atumie VIAGRA!!! Anategemea nini!!!
 
Khaaa! Hahahahah! Hiyo pichaa! Watu mna lana! Hehehehehehehe!
 
Back
Top Bottom