GPA 3.4 inawezekana ku apply degree?

GPA 3.4 inawezekana ku apply degree?

Hakuna kitu kama hiki. Kama hajalipa zaka basi aka apply na pesa yake itahesabika kama fungu la kumi au matomolo. Bila 3.5 HATAPATA CHUO


bila 3.5 hata ulie hupati
 
Kuna watu wabishi huhu, guideline inasema 3.5GPA Leo mtu anampotosha mwenzie, any way km una pesa nyingi wape tu km sadaka
 
Mimi nilijua sadaka ni kwenye nyumba za ibada tu.

Kumbe hata kwenye elimu kuna sadaka na watu wanatoa.
 
JAMAN NAN ANAWEZA KUNISAIDIA NIMEAZA KUAPPLY ALAFU MM NI DIPLOMA HOLDER NIMEMALIZA MWEZI WA TATU SINA CHET WALA TRANSCPT NIMA STATEMENT OF RESULT SYSTEM IMANIONA NI UPLOAD CHET NA TRANSCIPT NIFANYAJE
 
Back
Top Bottom