GPA 2.9 unaweza endelea degree?

GPA 2.9 unaweza endelea degree?

Bado anaweza kusacrifice mwaka akifanya Foundation course out. Akifaulu na kupata hiyo 3... anaendelea bila shida

Na unategemea kabsa atafaulu hyo Foundation course then akipata 3 akasome degree chuo gan..

Hyo ada bora akalime nyanya ifakara morogoro huko tena vibarua wapo ni hela yako
 
Na unategemea kabsa atafaulu hyo Foundation course then akipata 3 akasome degree chuo gan..

Hyo ada bora akalime nyanya ifakara morogoro huko tena vibarua wapo ni hela yako
Acheni negativity thoughts
 
OPEN UNIVERSITY (OUT) chuo kipo Kibaha mkoani pwani,,,,cha kufanya kama unaweza fika chuoni kabisa ukajiandikishe usome distance learning,,,,uzuri wa distance learing unapewa vitu vya kusoma then unaendelea na mishe zako huku unajisomea kwa mwaka 1 baada ya hapo kuna mitihani utafanya ukifaulu unajiunga na degree yako,,,,,
 
Back
Top Bottom