GPA 2.9 unaweza endelea degree?

GPA 2.9 unaweza endelea degree?

Nina swali ndugu zangu hvi kamaa mtuu umesoma mpaka diploma na umemalza na gpa ya 2.9.

Je, kuna oternative nyingine ya keendelea na degreee maana gpa ya kuendelea degree ni kuanzia 3 anae jua anaweza kunijuzaa.
Nenda Foundation course, Open university 1 year course! ukimaliza hiyo kozi ukipata GPA 3 na kuendelea utakuwa eligible kuendelea na Degree kwa mtu aliyetoka diploma na form 6 waliopungukiwa na sifa ya kusoma degree.
 
Nina swali ndugu zangu hvi kamaa mtuu umesoma mpaka diploma na umemalza na gpa ya 2.9.

Je, kuna oternative nyingine ya keendelea na degreee maana gpa ya kuendelea degree ni kuanzia 3 anae jua anaweza kunijuzaa.
Hauna sifa ya kuendelea na degree kafanye kazi
 
Nenda Foundation course, Open university 1 year course! ukimaliza hiyo kozi ukipata GPA 3 na kuendelea utakuwa eligible kuendelea na Degree kwa mtu aliyetoka diploma na form 6 waliopungukiwa na sifa ya kusoma degree.
Shuklan sanaa na jee open University ipo wap
 
Nina swali ndugu zangu hvi kamaa mtuu umesoma mpaka diploma na umemalza na gpa ya 2.9.

Je, kuna oternative nyingine ya keendelea na degreee maana gpa ya kuendelea degree ni kuanzia 3 anae jua anaweza kunijuzaa.

Uendelee ili uende wapi sasa na ww

Kachunge ng’ombe tu mzee
 
Shuklan sanaa na jee open University ipo wap
Kama umeweza ku'access JF,
Tafadhali ingia website yao angalia center ya karibu nawe na bila shaka wana namba ya huduma kwa wateja, watafute utapata mwongozo.
Na huu ndo muda wa kufanya application hizo za Foundation, kazi kwako!
 
Nenda Foundation course, Open university 1 year course! ukimaliza hiyo kozi ukipata GPA 3 na kuendelea utakuwa eligible kuendelea na Degree kwa mtu aliyetoka diploma na form 6 waliopungukiwa na sifa ya kusoma degree.
Ukishindwa hii unaweza kuanza upya diploma.
 
Nina swali ndugu zangu hvi kamaa mtuu umesoma mpaka diploma na umemalza na gpa ya 2.9.

Je, kuna oternative nyingine ya keendelea na degreee maana gpa ya kuendelea degree ni kuanzia 3 anae jua anaweza kunijuzaa.
Gpa yako angalia mwaka wapi semister ya 1 ya pili zijumishe then gawanya hapo .unatoka na gpa ya 3 unaenda chuo.hao vijana wanaokuambia ukasome degreee mkuuu
 
Kasome Higher Diploma.

Chuo kipo Arusha huko

Ni kozi ya mwaka mmoja, achana na mambo ya Open.

Inakuwa ni NTA level 7 na nimecheki utumishi pia wanatoa
 
Heart 💓 breaker wa JF wapo kazini take care mkuu

G.P.A ya degree inaanzia 3.0 so hapo ni kwenda open tu if unataka degree.
 
Nina swali ndugu zangu hvi kamaa mtuu umesoma mpaka diploma na umemalza na gpa ya 2.9.

Je, kuna oternative nyingine ya keendelea na degreee maana gpa ya kuendelea degree ni kuanzia 3 anae jua anaweza kunijuzaa.
Haiwezekani inatakiwa 3.0
 
Dah JF kuna sadist sana siku hizi sijui ndo ugumu wa maisha au Tozo
 
Sasa huko shulen alikuwa anafanya nn hiyo pesa c angefanyia mambo mengine
 
Back
Top Bottom