Gorofa linawaka moto Kariakoo/Msimbazi

Gorofa linawaka moto Kariakoo/Msimbazi

mzeelapa

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2010
Posts
1,124
Reaction score
408
Wakuu kuna mtu nimempigia simu akasema anakimbilia mitaa ya Kariakoo au Msimbazi kuna gorofa linawaka moto hebu aliyeko karibu atujuze (live).
 
Wakuu kuna mtu nimempigia simu akasema anakimbilia mitaa ya Kariakoo au Msimbazi kuna gorofa linawaka moto hebu aliyeko karibu atujuze (live).

Kwanini ussimpigie huyo huyo?
 
Wakuu kuna mtu nimempigia simu akasema anakimbilia mitaa ya Kariakoo au Msimbazi kuna gorofa linawaka moto hebu aliyeko karibu atujuze (live).
Ni kweli kuna mpenzi wangu mmoja kwenye facebook kaniambia na mimi hivyo kwamba kuna moto kariakoo ila hajafunguka zaidi,ipo kama na yeye anakimbilia hiko kuangalia kama kuna majeruhi.:coffee:
 
Ni kweli kuna mpenzi wangu mmoja kwenye facebook kaniambia na mimi hivyo kwamba kuna moto kariakoo ila hajafunguka zaidi,ipo kama na yeye anakimbilia hiko kuangalia kama kuna majeruhi.:coffee:

JF nayo huna mpenzi?
 
Mhandisi wa wilaya ya Ilala ajiandae kuingia lupango.
 
Nyakati za laana hizi. Sijui tumemkosea nn Mungu!

Watu wanang'oa wenzao kucha na meno bila ganzi afu tutegemee Mungu asikasirike, wanatengeneza video ili wawatese watu flani afu tutarajie Mungu asikasirike...!!
 
Back
Top Bottom