Ni mzuri wa kusifika, ukizingatia, kajiwacha "natural", hana cha mkorogo wala nywele za maiti. Ndio hapo huwa najiuliza hawa dada zetu wanaojichubuwa (mkorogo) na kubandika nywele za maiti (mawigi) huwa hawajiamini kuwa ni warembo au wana matatizo ya akili?
Tazama mtoto huyu, ana watusi wote wenye kujikoroga.