Gorge Mwakalinga ahamia CHADEMA

kuna siku huyu mzee nilikaa naye dah nikawaza kwa nn yupo ccm ilihali ni mwanamabadiliko ndio haya yanayotokea sasa....kahama UKAWA ni mpango wa Mungu ila nahic biashara zake watazifitini
 
mapambano ya kweli yapi ya mwembeyanga nini?

Kanone naona inakuuma lowasa kuwa rais maana ahadi yako ya kupewa ajira na makomeo ndio imekwisha ota mbawa,pole sana
 

Pole sana kwa kuendelea kubakia utumwani ccm
 
Huyo ni kapi alishindwa na mwakyembe kwenye kura ya maoni kwa tofauti kubwa Mwakyembe alipata kura 15516 na huyo ----- alipata kura 4905 kaona akimbilie chadema akasake huruma ya mbowe

Sasa ndiyo mungu keshamuonyesha njia ya jinsi ya kupata kilicho bora cdm
 

Mkuu huyo anakaribishwa sana cdm na wafuasi wake waliompigia kura alipokuwa ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…