mdetichia JF-Expert Member Joined Feb 13, 2015 Posts 5,292 Reaction score 2,172 Aug 9, 2015 #21 twahil said: yani watu kuhamia upande wenu haimaanishi ndio ushindi au ndio kukubalika. Angalieni watu mnaowapokea kuanzia mgombea wenu wa urais ni watu wa namna gani katika jamii?. Wengi wao ni mafisadi na walioshindwa katika kura za maoni na kukimbilia kwenu. Click to expand... Nenda mahakamani acha kuhukumu usijehukumiwa wewe.
twahil said: yani watu kuhamia upande wenu haimaanishi ndio ushindi au ndio kukubalika. Angalieni watu mnaowapokea kuanzia mgombea wenu wa urais ni watu wa namna gani katika jamii?. Wengi wao ni mafisadi na walioshindwa katika kura za maoni na kukimbilia kwenu. Click to expand... Nenda mahakamani acha kuhukumu usijehukumiwa wewe.
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 58,049 Reaction score 134,354 Aug 9, 2015 #22 Shikamoo Chadema...Marahaba mdogo wangu
Lyimo JF-Expert Member Joined Mar 7, 2006 Posts 3,826 Reaction score 2,021 Aug 9, 2015 #23 BONGE BONGE said: ....alishindwa na Mwakyembe ama??????? Click to expand... Mwakyembe alimchezea rafu mbaya sana huyu jamaa, maana hata wanachama wa CCM walikuwa wakimpinga waziwazi kabisa mh. Mwakyembe wakati wakijieleza.
BONGE BONGE said: ....alishindwa na Mwakyembe ama??????? Click to expand... Mwakyembe alimchezea rafu mbaya sana huyu jamaa, maana hata wanachama wa CCM walikuwa wakimpinga waziwazi kabisa mh. Mwakyembe wakati wakijieleza.
M makundubhyali JF-Expert Member Joined May 26, 2013 Posts 2,389 Reaction score 886 Aug 9, 2015 #24 Kansigo said: duh kwahiyo kila mwanachama akihama ni breaking news na lazima iletwe jf!!! basi kazi Click to expand... Sasa huko CCM kabaki nani kama si wewe na Kinana nasikia JK yuko pamoja na rafiki yake.
Kansigo said: duh kwahiyo kila mwanachama akihama ni breaking news na lazima iletwe jf!!! basi kazi Click to expand... Sasa huko CCM kabaki nani kama si wewe na Kinana nasikia JK yuko pamoja na rafiki yake.
Benz Petrol JF-Expert Member Joined Nov 22, 2012 Posts 504 Reaction score 196 Aug 9, 2015 #26 Dah! Mnaandika lakini?
N NapigaNgumi JF-Expert Member Joined May 30, 2015 Posts 529 Reaction score 209 Aug 9, 2015 #27 Kiby said: . Karibu maaana nnavyoona kasi ya wanaojiunga chadema ukichelewa zaidi ya wiki kuanzia sasa nafasi zitakuwa zimejaa. . Click to expand... kesho zamu yangu. naomba uniweke nafasi.
Kiby said: . Karibu maaana nnavyoona kasi ya wanaojiunga chadema ukichelewa zaidi ya wiki kuanzia sasa nafasi zitakuwa zimejaa. . Click to expand... kesho zamu yangu. naomba uniweke nafasi.
A afwe JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 4,080 Reaction score 765 Aug 9, 2015 #28 malkiamrembo said: jamani viongozi wa juu ccm itisheni mkutano wa wanachama wa dharura il;i kukinusuru chama hali ni tete chama cha babu zetu na bibi zetu chaangamia Click to expand... It is too late!
malkiamrembo said: jamani viongozi wa juu ccm itisheni mkutano wa wanachama wa dharura il;i kukinusuru chama hali ni tete chama cha babu zetu na bibi zetu chaangamia Click to expand... It is too late!
Tressa JF-Expert Member Joined Mar 2, 2013 Posts 954 Reaction score 1,046 Aug 9, 2015 #29 Breaking news,nimehamia ccm.
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 58,049 Reaction score 134,354 Aug 9, 2015 #30 Bao la mkono mwisho bafuni
NYATUKU JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 803 Reaction score 512 Aug 9, 2015 #31 Makapi yaendelee kuondoka wabaki wasafi tu
bukoba boy JF-Expert Member Joined Jan 15, 2015 Posts 5,374 Reaction score 3,972 Aug 9, 2015 #32 Chadema inakuja kua ccm b mda si mrefu
I Incredible JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 1,031 Reaction score 1,603 Aug 9, 2015 #33 KING MAZENGO said: Jamani chama chetu c.c.m kinaelekea wapi? Click to expand... Things Fall Apart
Ethos JF-Expert Member Joined Aug 1, 2015 Posts 2,294 Reaction score 2,090 Aug 9, 2015 #34 Chama changu kinapotea daahh..inaniuma..hahaha
S Skillionare JF-Expert Member Joined Nov 6, 2011 Posts 1,190 Reaction score 528 Aug 9, 2015 #35 nape kapi la ngapi hilo
CHENGU MANURE JF-Expert Member Joined May 26, 2015 Posts 914 Reaction score 566 Aug 9, 2015 #36 Tumekaribia pwani sasa.
robarth Member Joined Sep 4, 2013 Posts 98 Reaction score 22 Aug 9, 2015 #37 Ukawa acheni kituulia chama inatosha hao mliowachukua
TAWA JF-Expert Member Joined Jun 23, 2013 Posts 3,674 Reaction score 1,572 Aug 9, 2015 #38 Kaazi kwelkwel Attachments 1439123230770.jpg 60.8 KB · Views: 628
Lyimo JF-Expert Member Joined Mar 7, 2006 Posts 3,826 Reaction score 2,021 Aug 9, 2015 #39 Wamundemu said: Makapi yaendelee kuondoka wabaki wasafi tu Click to expand... Kama hao wasafi waliobakia ni kina Nape, JK, Kinana, Chenge na Tibaijuka, basi tunawatakia kila la heri.
Wamundemu said: Makapi yaendelee kuondoka wabaki wasafi tu Click to expand... Kama hao wasafi waliobakia ni kina Nape, JK, Kinana, Chenge na Tibaijuka, basi tunawatakia kila la heri.
M MENGELENI KWETU JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 9,557 Reaction score 24,180 Aug 9, 2015 #40 KING MAZENGO said: Jamani chama chetu c.c.m kinaelekea wapi? Click to expand... Kinaelekea shimoni ndg yangu, jana na juzi kilikuwa icu, msafara wa kukipeleka makaburini unakaribia kufika.
KING MAZENGO said: Jamani chama chetu c.c.m kinaelekea wapi? Click to expand... Kinaelekea shimoni ndg yangu, jana na juzi kilikuwa icu, msafara wa kukipeleka makaburini unakaribia kufika.