Ndio matumizi ya simu hayo. Unakuta mtu ana masimu makubwa mawili makuubwa kama tofali na yana huduma zote, lakini anakuuliza jambo rahisi kabisa ambalo majibu yake sahihi kabisa angeweza yapata mtandaoni ndani ya sekunde kadhaa tu(hapo anasubiri jibu aendelee na mada insta)
Muda mwingine ukweli haujifichi hata kama hautaki kuusikia. Kuna vitu tunawazidi wakenya ndio lakini kwenye kufanya mambo ya maana online wakenya wapo way ahead, mimi ni Mtanzania ila huu ukweli nishakubaliana nao, wabongo starehe nyingi, wengi online ni ngono tu ndio maana pornhub ipo kwenye top sites za Tanzania, Kenya ingia top 25 sites hakuna hata moja ya ngono.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.