under_score
Senior Member
- Nov 2, 2011
- 190
- 45
swipe toka kulia kuja kushoto utarudi kwenye main screen ya playstoreMkuu Chief,
Ki ukweli ni kwamba nikijaribu kuifungua Play Store yangu HAIFUNGUKI, bali inani'prompt kwenye hiyo screenshot ya kwanza, ambapo niki'click "REDEEM" ndipo inanipeleka hapo kwenye screenshot ya pili na kunitaka niingize hiyo CODE, na hapo ndo shida inapokuja sasa, maana mimi siijui sasa hiyo Code ni ipi??
It appears that your smartphone is not correctly configured for internet,configure it first!
swipe toka kulia kuja kushoto utarudi kwenye main screen ya playstore
Unatumia Techno nn?
Nikijaribu hivyo main screen inayokuja ndo hiyo "NO CONNECTION, TRY LATER" Chief ....
kaka ili usaidiwe inabidi utoe taarifa vizuri hebu niambie
umeshawahi kutumia playstore? au ndi mara ya kwanza? na kama tayari ulifanya kitu gani mara ya mwisho hadi ikaleta connection error?
kaka ili usaidiwe inabidi utoe taarifa vizuri hebu niambie
umeshawahi kutumia playstore? au ndi mara ya kwanza? na kama tayari ulifanya kitu gani mara ya mwisho hadi ikaleta connection error?
Kwa hili tatizo setting ya net haijakaa vizuri arudi kule kwenye mobile network.
So, mnanishauri nifanye settings kwa namna gani wakuu? Naombeni miongozo tafadhali
Ki ukweli nimeshakuwa nikiitumia sana tu hiyo Play Store kwenye simu yangu, na haikuwahi kunletea shida yoyote yani, ghafla tu siku moja nikaanza kuona huo ujumbe kila nikijaribu kuifungua, na ndio mpaka leo nikaona nijaribu ku'share nanyi humu hii kitu ili kwamba nipate msaada kama kuna mwingine alowahi ku'experience hii problem, maybe.
So inawezekana kabisa kuna kitu/ au mahali niliwahi kugusa lakini kiukweli sina kumbukumbu yoyote as to how all this had hapenned in the first place!
Jaribu kutengeneza APN mpya.
fanya hivi nenda setting halafu more network halafu mobile network halafu access point
angalia hapo kuna nini?
kama hakuna kitu au kuna wap au web inabidi utengeneze access point mpya.
bonyeza button ya chini kabisa kushoto chagua new apn.
connection name andika jf
apn andika internet
bonyeza back button halafu activate jf iwe active kwa kuiekea alama ya duara kwa mbele
then ingia playstore uangalie kama tatizo limeisha