Google pixel camera ni fire aisee

Google pixel camera ni fire aisee

SISIS

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
11,084
Reaction score
3,555
IMG_20211207_184545_941.jpg
IMG_20211207_184240_432.jpg
PXL_20211206_112337403.PORTRAIT~2.jpg
 
Mkuu hiyo camera kama camera au ni app inapatikana kwenye simu.?!
Au ni aina simu!?
Cc Chief-Mkwawa
Iyo ni camera kawaida kwa simu za google pixel ila kwa nyie wengine mnaweza kudonwload kama program ila kwetu watu wa pixel ni kawaida hatuhitaji kuroot simu ipo automatically yangu nilichukua 330k iyo pixel 3a zipo kibao kila kona
 
Iyo ni camera kawaida kwa simu za google pixel ila kwa nyie wengine mnaweza kudonwload kama program ila kwetu watu wa pixel ni kawaida hatuhitaji kuroot simu ipo automatically yangu nilichukua 330k iyo pixel 3a zipo kibao kila kona
Ipo playstore? Nitaipataje naomba link
 
Hio ni simu kiongozi kampuni ya simu ya google ina simu zao zinaitwa google pixel ni nzuri sana upande wa kamera na pia ni ghali sana kwa mpya
kaka kwa mpya sio parefu sana kulinganisha na ubora angalia iyo pixel 6 na iphone 13 au redmi 11 ultra utaona bado wako chini kwa bei mi binafsi ni mzee wa pixel napata picha vile napenda update kila mda uwakika
 
Back
Top Bottom