Hiyo warrant ya 6 months inam favour vp mnunuaji pindi simu itakapojizima ghafla kabla ya hiyo miezi sita kuisha?Imebakia 1 tu.. karibuni, msikose hii ofa, kumbuka unapata na warranty ya miezi 6
duka liko wapiPamoja na hizi mvua tunafanya delivery mpaka mlangoni kwako na kwa Dar ni Free kabisa.. karibu uweke order simu hizi ni mkataba hautakaa jutia.. tuwe na desturi ya kununua kitu cha uhakika kinachodumu kuliko kuwa na kitu mteremko ila kinakufa muda mchache
nimejaribu kupitia page yako insta naona simu zote za pixel ni single line, huna double line?NIko Buza Temeke boss karibu
0764081567 nicheki mawasilano ukifika Buza mwisho.. kukuelekeza nilipo