Google ndio muhimili wa wabongo wengi,hakuna matumizi ya ubongo kabsaa!

Kuchambua vya kuchambuliwa kutoka Google kunataka ubongo wa ajabu.
Nilishawahi kufanya research work ya taarab kwa msaada wa internet kwa 70% and you'll never realize.
Copy n' paste ndio ukilaza, ila kufanya google kuwa kama maktaba hakuna ubaya.
Musiwe kama wale maprofesa wa sheria pale UD ambao hawataki reference za mtandaoni, wanataka vitabu vya makaratasi tu. Na sie twasonga nao hivyo hivyo!
 
Kuwa tu na hiyo akili ya kujua kwamba wakienda google watapata majibu ya maswali yao peke yake ina deserve credit.
 
Sasa BAGAH mi sijakuelewa !
Unatulaumu au unatuhamasisha tuzidi kujikita kunako google !
Nina Ng'ombe wangu zizini then nikanunue Madhiwa ? Haiyumkiniki !
 
Sasa BAGAH mi sijakuelewa !
Unatulaumu au unatuhamasisha tuzidi kujikita kunako google !
Nina Ng'ombe wangu zizini then nikanunue Madhiwa ? Haiyumkiniki !

silaum man...
nataka tusibweteke na hii kitu...
google icwe ndo kila kitu...
na ukipata kitu huko digest mwenyewe na uandike kwa kaakili kako sasa...
unakopi mpaka ile www.
 
Kuchambua vya kuchambuliwa kutoka Google kunataka ubongo wa ajabu.
Nilishawahi kufanya research work ya taarab kwa msaada wa internet kwa 70% and you'll never realize.
Copy n' paste ndio ukilaza, ila kufanya google kuwa kama maktaba hakuna ubaya.
Musiwe kama wale maprofesa wa sheria pale UD ambao hawataki reference za mtandaoni, wanataka vitabu vya makaratasi tu. Na sie twasonga nao hivyo hivyo!

word!.
copy na paste no!!
na vile vilaini laini shirikisha medula...
 
Back
Top Bottom