tena wewe ndiye uliyekuwa wa kwanza kabisa kumfungulia mlango alipobisha hodi hapa JF, its sooooo touching!!
raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanaga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, Amina!
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe!