Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,415
- Thread starter
- #21
Vipi sasa hv unaposikia JKK yuko GomaKuielewa Congo inahitaji Akili nyingi.
Vipi sasa hv unaposikia JKK yuko GomaKuielewa Congo inahitaji Akili nyingi.
Mkuu JKK yuko Goma, nilisema hili humu mapema kuhusu East Congo ,je inaenda kuwa Kivu republican?Huko Kivu Kaskazini Kuna makundi mengi yenye silaha ....je RDF itaweza kuyadhibiti yote ?
Mpk sasa unasemaje MkuuIna maana Goma na Bukavu zitasalia chini ya M23/RDF kwa miaka mingi ijayo ?...sidhani kama itawezekana..
Mzaha mzaha itakuaGoma kuwa "Kivu Republic"?
Republique du Kivu".
Mpanda?Eti na tz kule mwese imewapa wanyarwanda eneo kuwa lao. Hawajifunzi kwa Congo kweli? Mtutsi sio MTU mzuri
Sidhani kama wana lengo hilo ..Mkuu JKK yuko Goma, nilisema hili humu mapema kuhusu East Congo ,je inaenda kuwa Kivu republican?
Bado lolote laweza kutokeaMpk sasa unasemaje Mkuu