Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,231
- 90,407
Kufuatia waasi wa M23 wanasapotiwq na Rwanda kuukalia mji wa Goma kimabavu je ndio mwanzo wa kuigawa DRC?
Wengi walisikia kuhusu mkataba wa lemera ambao unasemwa ndio uliwapa watusi (banyamulenge) eneo lakini baada Muzee Kabila akasema ni mkutano wa porini na yeye hana mamlaka ya kugawa nchi bila idhini ya wacongo.
Sasa Leo M23 chini ya sapoti ya majeshi ya Rwanda yanaukalia mji waa Goma na kujitangaza kuitawala na tayari wakiwa wameishateua Magavana wa kuongoza Jimbo hilo.
Kwa Rwanda na Kagame hii ni FAIDA kubwa sana kwao kijamiii na hata Ki ulinzi. Ni rahisi Sasa kuwazuia FDLR kufika Rwanda anakuwa na uhakika walau kidogo kuwapatia watu wake ardhi mpya.
Uzi :👇🏾
www.jamiiforums.com
Wengi walisikia kuhusu mkataba wa lemera ambao unasemwa ndio uliwapa watusi (banyamulenge) eneo lakini baada Muzee Kabila akasema ni mkutano wa porini na yeye hana mamlaka ya kugawa nchi bila idhini ya wacongo.
Sasa Leo M23 chini ya sapoti ya majeshi ya Rwanda yanaukalia mji waa Goma na kujitangaza kuitawala na tayari wakiwa wameishateua Magavana wa kuongoza Jimbo hilo.
Kwa Rwanda na Kagame hii ni FAIDA kubwa sana kwao kijamiii na hata Ki ulinzi. Ni rahisi Sasa kuwazuia FDLR kufika Rwanda anakuwa na uhakika walau kidogo kuwapatia watu wake ardhi mpya.
Uzi :👇🏾
Taifa jipya la Congo Mashariki kutangazwa hivi karibuni na Rais atakuwa Joseph Kabila. Tuna furaha mashabiki wa M23 kwa maendeleo haya
Hongera wapiganaji wetu wa M23, kwa sasa Afrika Mashariki, Afrika ya Kati na jumuiya ya SADC itashuhudia Uhuru Wa Taifa jipya la Congo Mashariki. Taifa Hili teule litalinda amani na rasilimali za nchi nzima. Karibu kiongozi wetu kabila, tujenge nchi isio na vita. Viva M23 , viva AFC ukombozi...