Mtaka yote
Senior Member
- Nov 30, 2014
- 136
- 103
Lazima tukubaliane Lowassa ana mtaji wa kura nyingi kutoka CCM..kuna wabunge na viongoz wengi bado wako CCM lakn ni Team Lowassa hadi kufa..iko waz majukwaan watamsifia Magufuli kulinda matumbo yao lakin kura zao na wafuasi wao watampa Lowassa..Na hili ndio goli la kisigino watakalofunga UKAWA