Huyu jamaa hajasaini azimio la kuiwajibisha serikali, lakini angalia anavyopiga kilele kudanganya wapiga kura wake.
Alisema hoja ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu ilianzishwa na wabunge wa CCM katika kikao chao, hivyo hawatarudi nyuma mpaka wahakikishe mawaziri wote wanaotuhumiwa wameondolewa madarakani.
"Unajua hoja ya kutokuwa na imani imeanzishwa na wabunge wa CCM kwenye kikao chetu cha ndani, wapinzani waliichukua baada ya kupata siri yetu, lakini hilo halijalishi kwani wote tumeungana kwa pamoja kupiga vita ufisadi," alisema Zambi.
Alisema sasa katika suala la kupiga vita ufisadi ni la wabunge wote wa CCM, na aliwataka wananchi kuona mabadiliko makubwa kwani ile tabia ya kuona kila mwaka serikali inatumia vibaya fedha na wao kuunga mkono, umeshakwisha.
Alisema hoja ya kutokuwa na imani kwa Waziri Mkuu ilianzishwa na wabunge wa CCM katika kikao chao, hivyo hawatarudi nyuma mpaka wahakikishe mawaziri wote wanaotuhumiwa wameondolewa madarakani.
"Unajua hoja ya kutokuwa na imani imeanzishwa na wabunge wa CCM kwenye kikao chetu cha ndani, wapinzani waliichukua baada ya kupata siri yetu, lakini hilo halijalishi kwani wote tumeungana kwa pamoja kupiga vita ufisadi," alisema Zambi.
Alisema sasa katika suala la kupiga vita ufisadi ni la wabunge wote wa CCM, na aliwataka wananchi kuona mabadiliko makubwa kwani ile tabia ya kuona kila mwaka serikali inatumia vibaya fedha na wao kuunga mkono, umeshakwisha.